Mkurugenzi
 Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Resolution na Kampuni ya Mikopo ya 
Resolution Bw. Peter Nduati akielezea mabadiliko mbalimbali ya 
kampuni,katika utendaji kazi na kuwajibika kwa wafanyakazi na 
kuwasisitiza kuchapa kazi zaidi. 
 
Wafanyakazi wa Resolution Insurance wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu Bw. Peter Nduati wakati akiongea nao.
Mkurugenzi
 Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya  Resolution  Tanzania Bi. Maryanne Mugo 
akieleza kwa ufupi kuhusu IRAP na changamoto zake.
Meneja
 wa Rasilimali Watu na Rasilimali Bi. Jennifer Mburu (kushoto) wa 
Kampuni ya Bima ya Resolution  akielezea Maana kamili ya IRAP na jinsi 
wafanyakazi wa Resolution watakavyotakiwa kuishi na Filosofia hiyo ili 
Kuboresha utendaji pamoja na Kumhudumia mteja kwa weredi. Kulia ni Bw. 
Melchizedek Muro Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa wateja kutoka 
Resolution.
Mkuu
 wa Kitengo cha Huduma na Dharura kwa Wateja kutoka Kampuni ya Bima ya 
Resolution Bi. Batuli Karya akitoa mrejesho baada ya Chemsha Bongo kwa 
wafanyakazi kumalizika.
Baadhi
 ya Wafanyakazi wa Resolution wakimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Huduma 
na Dharura kwa Wateja Bi. Batuli Karya(hayupo Pichani) wakati wa 
mrejesho wa Chemsha Bongo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni