MARUFUKU KUWAKAMATA WAUGUZI BILA YA KUFUATA TARATIBU-MAJALIWA


 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisoma Hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) ambao umeanza leo Oktoba 4,2017 Mkoani Lindi. PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mwenezi msaidizi wa Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) Johari Yusuf, baada ya ufunguzi wa Mkutano wa chama cha wauguzi leo Oktoba 4,2017 Mkoani Lindi. Katikati mweye beji shigoni ni Rais wa Chama cha Wauguzi Tanzania Bwana Poul Magesa, kulia kwa Katibu mwenezi ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wauguzi Tanzania Sebastian Luziga. PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni