WAFANYAKAZI WA BIMA YA BRITAM WATOA MSAADA KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA CHAKUWAMA.

Mkuu wa operesheni wa Bima ya Britam, Farai Dogo akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima cha CHAKUWAMA kilichopo Sinza jijinini Dar es Salaam ikiwa ni kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja ambayo hufanyika kila mwaka wiki ya kwanza Oktoba duniani Kote.
Wafanyakazi wa bima ya Britam wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakikabidhi vitu mbalimbali kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha CHAKUWAMA kilichopo sinza jijini Dar es Salaam.
Katibu mtendaji wa Kituo cha kulelea watoto yatima cha CHAKUWA, Hasan Khamis akizungumza na wafanyakazi wa bima ya Britam na kuwaelezea historia ya kituo hicho pamoja na changamaoto pamoja na mafanikio waliyoyapata. Pia amewashukuru wafanyakazi wa bima ya Britam kwa kuwapa msaada huo.
Baadhi ya wafanyakazi wa bima ya Britam wakimsikili katibu Mtendaji w

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni