Afisa
 Uhusiano wa Mamaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya 
Jamii (SSRA), Agnes Lubuva (kushoto), akiwapatia maelezo wananchi pamoja
 na wajasiriamali kuhusu kazi na majukumu ya taasisi hiyo kwa jamii, 
walipotembelea banda hilo, wakati wa maonesho ya Wiki ya Fursa za 
Kifedha na Uwekezaji viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam mwishoni mwa
 wiki.
Mkuu
 wa Idara ya Uhusiano na Uhamasishaji wa Mamlaka ya Usimamizi na 
Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde Msika, 
akitoa somo juu ya umuhimu wa kujiunga na kujiwekea akiba kwenye mifuko 
ya hifadhi ya jamii kwa manufaa ya baadaye ya familia, wakati alipokuwa 
akitoa elimu kwa wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali katika Wiki ya 
Fursa za Kifedha na Uwekezaji, viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es 
Salaam.
Wajasiriamali
 kutoka sehemu mbalimbali jijini Dar es Saaam, wakimsikiliza Mkuu wa 
Idara ya Uhusiano na Uhamasishaji wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa
 Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde Msika, alipokuwa 
akitoa elimu kuhusu, Umuhimu wa kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii, 
wakati wa Wiki ya Fursa za Kifedha na Uwekezaji, viwanja vya Mnazi Mmoja
 jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mkuu
 wa Idara ya Uhusiano na Uhamasishaji wa SSRA, Sarah Kibonde Msika, 
akitoa somo kwa wajasiriamali juu ya umuhimu wa kujiunga na kujiwekea 
akiba kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kwa manufaa ya sasa na baadaye 
ya familia, wakati wa Wiki ya Fursa za Kifedha na Uwekezaji, viwanja vya
 Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Wajasiriamali
 wakifuatilia mada iliyokuwa ikitolewa na Mkuu wa Idara ya Uhusiano na 
Uhamasishaji wa SSRA, Sarah Kibonde Msika (hayupo pichani) katika Wiki 
ya Fursa za Kifedha na Uwekezaji, viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es 
Salaam mwishoni mwa wiki. 
Wajasiriamali
 wakiwa makini wakimsikiliza Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Uhamasishaji 
wa SSRA, Sarah Kibonde Msika, alipokuwa akitoa elimu kuhusu, Umuhimu wa 
kujiunga na kujiwekea akiba katika mifuko ya hifadhi ya jamii kwa 
manufaa ya baadaye na wakati matatizo,katika maadhimisho ya Wiki ya 
Fursa za Kifedha na Uwekezaji, viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es 
Salaam mwishoni mwa wiki. 
Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Uhamasishaji wa SSRA, Sarah Kibonde Msika, akitoa somo kwa wajasiriamali.
Wajasiriamali
 wakiwa katika kongamano la Wiki ya Fursa za Kifedha na Uwekezaji, 
ambapo walielezwa kuhusu umuhimu wa kujiunga na kuweka akiba zao katika 
mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwa manufaa ya sasa na baadaye na Mkuu wa 
Idara ya Uhusiano na Uhamasishaji wa SSRA, Sarah Kibonde Msika (hayupo 
pichani), viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni