Mfamasia
 wa kitengo cha afya ya uzazi na Mtoto kutoka Wizara ya Afya, Wanawake, 
Jinsia na Watoto, Machumu Mayeye akikata utepe kuashiria uzinduzi wa 
mradi wa Hamasa na Tiba kwa Afya ya Uzazi na Uzazi wa Mpango, 
uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
 Mkurugenzi
 mkazi wa Amref Health Africa, Dk. Florence Temu akizungumza wakati wa 
Uzinduzi wa mradi wa Hamasa na tiba kwa ajili ya Uzazi wa Mpango kwa 
mikoa 24 nchi nzima ili kuweza kusaidia sekta ya Afya kwa msaada wa 
Serikali ya Uholanzi.
 Mfamasia
 wa kitengo cha afya ya uzazi na Mtoto kutoka kutoka Wizara ya Afya 
Wanawake jinsia na Watoto, Machumu Mayeye akizungumza kwa niaba ya 
Mkurugenzi wa masuala ya afya ya uzazi na mtoto.
 Meneja
 mradi wa Masuala wa hamasa na Tiba kwa afya ya Uzazi na Mtoto kutoka 
Amref Africa, Dk. Sarafina Mkuwa akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi
 huo jijini Dar es Salaam.
 Baadhi
 ya Wadau walioshiriki katika Uzinduzi wa mradi  wa Hamasa na tiba kwa 
ajili ya Uzazi wa Mpango kutoka kwa Amref Afrika kwa msaada wa Serikali 
ya Uholanzi.
Baadhi
 ya Wadau walioshiriki wakati wa Uzinduzi wa mradi  wa Hamasa na tiba 
kwa ajili ya Uzazi wa Mpango kutoka kwa Amref Afrika kwa  msaada wa 
Serikali ya Uholanzi.wakiwa katika picha ya pamoja.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni