Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(kulia) akisalimiana na Mkurugenzi  Ukaguzi Nd.Mohamoud Houssein (wa 
pili kushoto) wakati  alipotembelea  katika Bandari ya Doraleh  
Container Terminal jana,ambayo ni maalum kwa upokeaji wa Makontena 
kutoka kwenye meli mbali mbali  zinazowasili katuika Bandari hiyo,akiwa 
katika ziara ya kiserikali chini Djibouti na ujumbe aliofuanata 
nao,[Picha na Ikulu.] 08/05/2017.
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(kulia) akisalimiana na Viongozi mbali mbali  alipowasili katika Bandari
 ya   Doraleh  Container Terminal  jana ambayo ni maalum kwa upokeaji wa
 Makontena kutoka kwenye meli mbali mbali zinazowasili katika Bandari 
hiyo, alipotembelea  akiwa katika ziara maalum ya kiserikali nchini 
Djibouti akiwa na ujumbe aliofuanata nao,[Picha na Ikulu.] 08/05/2017.
 Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(kulia) akisalimiana na Viongozi mbali mbali  alipowasili katika Bandari
 ya   Doraleh  Container Terminal  jana ambayo ni maalum kwa upokeaji wa
 Makontena kutoka kwenye meli mbali mbali zinazowasili katika Bandari 
hiyo, alipotembelea  akiwa katika ziara maalum ya kiserikali nchini 
Djibouti akiwa na ujumbe aliofuanata nao,[Picha na Ikulu.] 08/05/2017.  
 
Rais
  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi  Ukaguzi 
Nd.Mohamoud Houssein (katikati) mara baada ya mapokezi alipotembelea  
katika Bandari ya   Doraleh  Container Terminal  jana ambayo ni maalum 
kwa upokeaji wa Makontena kutoka kwenye meli mbali mbali zinazowasili 
katika Bandari hiyo, alipotembelea  akiwa katika ziara maalum ya 
kiserikali nchini Djibouti akiwa na ujumbe aliofuanata nao,[Picha na 
Ikulu.] 08/05/2017.
Rais
  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(wa pili kushoto) pamoja na Viongozi wengine wakipata maelezo kutoka kwa
 Mtaalam wa Mashine  karika Bandari  ya   Doraleh  Container Terminal  
jana  ambayo ni maalum kwa upokeaji wa Makontena kutoka kwenye meli 
mbali mbali zinazowasili katika Bandari hiyo, Dk.Shein yupo nchini 
Djibouti katika  ziara maalum ya kiserikali   akiwa na ujumbe 
aliofuanata nao,[Picha na Ikulu.] 08/05/2017.
Makontena
 yenye mizogo mbali mbali yakiwa katika eneo maalum lililotengwa na 
kuwekwa katika Bandari  ya   Doraleh  Container Terminal nchini Djibouti
 ambapo  Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali 
Mohamed Shein na ujumbe wake jana walitembelea eneo hilo akiwa katika 
ziara maalum ya kiserikali,[Picha na Ikulu.] 08/05/2017. 
Mashine
 za kuchukulia Makontena katika meli zinazofunga gati katika  Bandari  
ya   Doraleh  Container Terminal nchini Djibouti ambapo  Rais  wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na 
ujumbe wake  jana walitembelea eneo hilo akiwa katika ziara maalum ya 
kiserikali,[Picha na Ikulu.] 08/05/2017.
Makontena
 yenye mizogo mbali mbali yakiwa katika eneo maalum lililotengwa na 
kuwekwa Mizigo mbali mbali katika Bandari  ya   Doraleh  Container 
Terminal nchini Djibouti ambapo  Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa 
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe wake jana 
walitembelea eneo  hilo   katika ziara maalum ya kiserikali,[Picha na 
Ikulu.] 08/05/2017.
Rais
  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(katikati) akisalimiana  na Mkuu wa Bandari ya Djibouti Bw,Saad Omar  
Guelleh  mara alipowasili katika Bandari  ya   Doraleh  Multipurpose 
nchini Djibouti akiwa katika ziara maalum ya kiserikali alitembelea jana
 akiwa na ujumbe wake,(kushoto) Waziri wa Vifaa na Usafirishaji 
Mhe.Mohamed Abdoulkader Moussa,   [Picha na Ikulu.] 08/05/2017.
Rais
  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(wa pili kushoto) akitambulishwa na Mkuu wa Bandari ya Djibouti Bw,Saad 
Omar  Guelleh (katikati) kwa viongozi wakati aliposalimiana nao jana  
wakati  alipotembelea katika Bandari  ya   Doraleh  Multipurpose  nchini
 Djibouti  akiwa katika ziara maalum ya kiserikali  na ujumbe 
wake,(kushoto) Waziri wa Vifaa na Usafirishaji Mhe.Mohamed Abdoulkader 
Moussa,   [Picha na Ikulu.] 08/05/2017.
Rais
  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(wa pili kushoto) akitambulishwa na Mkuu wa Bandari ya Djibouti Bw,Saad 
Omar  Guelleh (katikati) kwa viongozi wakati aliposalimiana nao jana  
wakati  alipotembelea katika Bandari  ya   Doraleh  Multipurpose  nchini
 Djibouti  akiwa katika ziara maalum ya kiserikali  na ujumbe 
wake,(kushoto) Waziri wa Vifaa na Usafirishaji Mhe.Mohamed Abdoulkader 
Moussa,   [Picha na Ikulu.] 08/05/2017.
 Rais
  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(wa pili kushoto) akitambulishwa na Mkuu wa Bandari ya Djibouti Bw,Saad 
Omar  Guelleh (katikati) kwa viongozi wakati aliposalimiana nao jana  
wakati  alipotembelea katika Bandari  ya   Doraleh  Multipurpose  nchini
 Djibouti  akiwa katika ziara maalum ya kiserikali  na ujumbe 
wake,(kushoto) Waziri wa Vifaa na Usafirishaji Mhe.Mohamed Abdoulkader 
Moussa,   [Picha na Ikulu.] 08/05/2017.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni