Waziri
 Mkuu Kassim  Majaliwa  akitoa salamu za Pole  Katika  Msiba kwa  
aliyekuwa Diwani wa  CCM Kata ya Mnacho ,Kijij cha Nandagala , Bw.  
Daniel Petro  Mtawa aliyefariki tarehe May 7,2017 na kuzikwa  kijijini  
kwake  Nandagala  Wilaya ya Ruangwa  Mkoani  Lindi May 8 ,2017. (PICHA 
NA OWM) 
 Waziri
  Mkuu  Kassim  Majaliwa  akiwa ameongozana na  Viongozi  wa Mkoa  wa  
Lindi na Mtwara   pamoja na wananchi kuelekea makaburini kwa ajili  ya  
mazishi ya aliyekuwa Diwani wa  CCM Kata ya Mnacho, Kijiji cha Nandagala
 , Bw.  Daniel Petro  Mtawa aliyefariki tarehe May 7,2017 na kuzikwa  
kijijini  kwake  Nandagala  Wilaya ya Ruangwa  Mkoani  Lindi May 8,2017.
 Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Bi. Halima Dendego na wa pili kulia, 
ni Mkuu  wa Mkoa  wa Lindi,  Bw.  Godfrey  Zambi. Kushoto  ni Kaimu   
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa , Bi. Rukia Mhango. (PICHA NA OWM) 
 Waziri
 Mkuu Kassim Majaliwa na Mbunge wa Ruangwa, akiweka mchanga kwenye 
kaburi la aliyekuwa Diwani wa CCM Kata ya Mnacho ,Kijij cha Nandagala , 
Bw. Daniel Petro Mtawa ambaye amefariki tarehe May 7,2017 na kuzikwa 
kijijini kwake Nandagala Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi May 8 ,2017. 
(PICHA NA OWM)  
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni