Mkuu
 wa Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, Dk Leonard Masale akizungumza 
wakati wa uzinduzi wa michuano ya Copa Coca-cola kwenye uwanja wa CCM 
Kirumba jijini Mwanza.
Meneja
 Mkuu wa Masoko Nyanza Bottling Co. Ltd Mwanza, Deus Kadico akizungumza 
wakati wa uzinduzi wa michuano ya Copa Cocacola kwenye uwanja wa CCM 
Kirumba jiji ni Mwishoni mwa wiki.
Afisa
 Msaidizi wa Masoko wa kampuni ya Coca Cola nchini, Pamela Lugenge 
akizungumza wakati wa uzinduzi wa michuano ya Copa Cocacola kwenye 
uwanja wa CCM Kirumba jijini mwishoni mwa wiki.
Mkuu
 wa Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, Dk Leonard Masale akikabidhi vifaa 
vya michezo kwa baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bugogwa baada 
ya kuzindua michuano ya Copa Cocacola kwenye uwanja wa CCM Kirumba 
jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.Kushoto ni Mkurugenzi wa Nyanza 
Bottling, Christopher Gachuma na wa pili kushoto ni Afisa Msaidizi wa 
Masoko wa kampuni hiyo nchini, Pamela Lugenge.
Mkuu
 wa Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, Dk Leonard Masale akikagua timu ya 
ya mpira wa miguu ya Nyamagana baada ya kuzindua michuano ya Copa 
Cocacola kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
Afisa
 Msaidizi wa Masoko wa kampuni hiyo nchini, Pamela Lugenge 
akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Nyanza Bottling, Christopher 
Gachuma wakati wa hafla hiyo
Mkuu
 wa Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, Dk Leonard Masale akipiga mpira 
golini ishara ya uzinduzi wa michuano ya Copa Coca-cola iliyofanyika 
kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni