Rc Gambo aongoza maelfu ya wananchi waliojitokeza kuaaga miili ya watu watano waliofariki kwa kuangukiwa na mti

May 9, 2017 Arusha ilipata pigo tena baada ya  watu watano kufariki kwa  kuangikiwa na mti katika kijiji cha Ngiresi kilichopo Kata ya Sokoni, Wilayani Arumeru  kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Miili hiyo imeagwa leo  katika viwanja vya shule ya msingi Ngiresi.
Viongozi mbalimbali wa Serikali na  vyama vya siasa walihudhuria akiwepo Meya wa Jiji la Arusha, Mkuu wa wilaya ya Arumeru,Madiwani mbalimbali pamoja na Mwenyekiti wa Uvccm Mr.Olengai Sabaya
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe
Nimekuwekea picha za matukio mbalimbali hapo chini unaweza kuzitazama


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni