Magari
 matatu ya kubebea wagonjwa ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli yakiwasili tayari kwa kukabidhiwa kwa 
wabunge wa Nkasi, Tabora na Shinyanga Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei
 9, 2016
Magari
 matatu ya kubebea wagonjwa ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli yakiwasili tayari kwa kukabidhiwa kwa 
wabunge wa Nkasi, Tabora na Shinyanga Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei
 9, 2016
Katibu
 Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwa na  Mbunge wa Nkasi Kaskazini 
Mhe. Ali Mohamed Kessy,  Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. 
Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe 
akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu 
jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Katibu
 Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwa na  Mbunge wa Nkasi Kaskazini 
Mhe. Ali Mohamed Kessy,  Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. 
Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe 
akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu 
jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Mbunge
 wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga akikabidhiwa 
ufunguo wa gari la kubebea wagongwa  na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John
 Kijazi ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 
Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Mbunge
 wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga akionesha ufunguo 
wa gari la kubebea wagongwa  na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi 
ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John 
Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Mbunge
 wa Viti Maalumu mkoa wa Tabora Mhe. Munde Tambwe akikabidhiwa ufunguo 
wa gari la kubebea wagongwa  na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi 
ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John 
Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016

Mbunge
 wa Nkasi Mhe Ali Mohamed Kessy akiwa na gari la kubebea wagonjwa 
 alilokabidhiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ikiwa msaaada
 toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe 
Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016Mbunge wa wa Viti Maalumu Mhe Munde Tambwe akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi walipofika kupokea msaaada wa magari ya kubebea wagonjwa toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Mbunge wa wa Viti Maalumu Mhe Lucy Mayenga akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi walipofika kupokea msaaada wa magari ya kubebea wagonjwa toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Katibu
 Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwakaribisha  Mbunge wa Nkasi 
Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy,  Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa 
Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe 
Munde Tambwe akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama 
msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe 
Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Katibu
 Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwa na  Mbunge wa Nkasi Kaskazini 
Mhe. Ali Mohamed Kessy,  Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. 
Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe 
akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu 
jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016.
Picha na IKULU













Hakuna maoni:
Chapisha Maoni