Watu wengi hawafahamu vivutio vilivyopo visiwa vya Zanzibar ambapo wanafikiria kuwa Zanzibar ina uzuri wa fukwe za bahari tu.
Kumbe
 si fukwe tu bali kuna vivutio vingi vya asili ambavyo vinapatikana kama
 vile msitu wa jozani ambao umekuwa kivutio kikubwa kwa watu wengi na 
watalii kupendelea kwenda kuutembelea.
Ni  
 umbali  wa  kilomita  35 kutoka kusini  mashariki  mwa  Unguja  ambapo 
 utakuta  msitu wa hifadhi wenye kupakana na ghuba ya Chwaka. Hifadhi 
 hiyo  imejumuisha vijiji tisa  vikiwemo Pete, Kitogani ,Ukongoroni  
chwaka ,Charawe ,Unguja ukuu,  Michamvi na Cheju.
Hifadhi 
 ya  msitu  huo kuna wanyama adimu ambao hawapatikani katika hifadhi 
nyingine yoyote njee ya visiwa vya Zanzibar. Wanyama hao ni kama vile 
 chura wa Jozani, Chuwi wa Zanzibar, Jongoo wa Jozani, Paa Nungwa na 
Kima punju (Red Colobus Monkey) ambao wamekuwa vivutio  vikubwa   vya 
 utali  na kuwafanya  watu kila kona ya Dunia kufunga safari na kwenda 
kuvingalia vivutio hivyo.
Katika
 Wanyama wote hao Kimapunju ndio kivutio kikuu cha watalii kutokana na 
rangi yake, umbile na tabia yao ya kuishi ujamaa kama Binadamu.
Uso
 wa Kima punju ni mweusi una taji la manyoya meupe, rangi ya pinki 
kwenye midomo na pua, pia ana mkia mrefu wenye rangi nyeusi kwa juu na 
nyeupe kwa chini na wanyama hao hupatikana kwenye hifadhi za misitu ya 
Jozani (Unguja) na Ngezi (Pemba).
Kima
 punju huishi kwa kufuatana kwa makundi na kila kundi huwa kuna dume 
mmoja ambapo dume huyo kamwe hakubali kuliacha kundi hilo kuingiliwa na 
dume mwengine hadi kufa kwake.
Pia
 Kima punju hupendelea sana kula majani  machanga ya miti kama vilele 
vya mipera na majani ya mikungu ambayo ndio hupendelea kula zaidi jambo 
ambalo husababisha mikungu yote ya Jozani kutokuwa na majani kabisa 
kwani  yakichipua tu huliwa na wanyama hao.
Wanyama
 hao hula maganda ya matunda  kama vile Embe, Mapera na makoroma ya nazi
 na hawali kabisa matunda yenye sukari  kama vile Embe mbivu ,Ndizi 
mbivu  kutokana na matumbo yao kushindwa kusaga vitu vya sukari 
(insuline  hormone). 
Vile vile  Kima punju hupendelea kula makaa  meusi kama tiba ya maradhi mbali mbali yanayowasumbua na ni kinga  ya maradhi yao.
Kima
 punju hukaa  zaidi ya miezi mitano bila kunywa maji kutokana na vyakula
 wanavyokula si kumtaka kunywa maji, kwani mara nyingi hula vyakula 
vyenye ukakasi vikiwemo vya  majani machanga.
Mradi
 wa kuhifadhi msitu wa Jozani wa Jozani-Chwaka Bay Conservation Project 
uliokuwepo kati ya mwaka 1995 mpaka mwaka 2003 ulimchagua mnyama huyu 
kuwa kwenye nembo ya utunzaji mazingira Zanzibar.
Kima
 punju wako kwenye hatari kubwa ya kupotea na tayari Shirika la 
Kuhufadhi Wanyamapori Duniani (IUCN) limewaweka kwenye mstari mwekundu. 
Hali hii imetokana na makazi hao kuharibiwa na binadamu kwa uvunaji wa 
miti kwa ajili ya mbao, uchomaji wa misitu na usafishaji wa misitu kwa 
ajili ya mashamba.
 Naibu Waziri ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa 
(TAMISEMI) Seleman Jafo wa kati kati akiwa katika boti maeneo ya 
nyamisati mto Rufiji kwa ajili ya kujiandaa na safari ya kwenda 
kuwatembelea wananchi wa Wilaya ya Rufiji hususan wale wanaoishi katika 
maeneo ya Delta ikiwa ni ziara yake ya kikazi Mkoani Pwani ya kukagua 
miradi  mbali mbali ya maendeleo(PICHA NA VICTOR MASANGU)
Naibu Wazari Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa 
(TAMISEMI) Seleman Jafo wa kati kati akiwa kwenye boti katika ziara yake
 ya kikazi katika Wilaya ya Kibiti na viongozi wengine wa serikali,na wa
 kwanza kulia  kwake ni Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Kibiti 
Khatibu Chaurembo kwa ajili ya safari ya kwenda kuwatembelea wananchi wa
 maeneo ya Delta kwa ajili ya kukagua miradi ya  mbali mbali 
maendeleo.(PICHA NA VICTOR MASANGU)  
NA VICTOR MASANGU, KIBITI
LICHA ya serikali ya awamu ya tano kuongeza juhudi za kuboresha sekta ya
 afya katika maeneo mbali mbali hapa nchini bado sehemu nyingine utoaji 
wa huduma hali bado ni tete kutokana na kukabiliwa na changamoto mbali 
mbali ikiwemo ukosefu wa wauguzi,madaktari, madawa, magari ya kubebea 
wagonjwa,vitanda pamoja na vifaa tiba hivyo kusababisha wagonjwa kupata 
shida kubwa pindi wanapokwenda kupatiwa matibabu.
Changamoto hizo ambazo zinadaiwa ni sugu na hazijafanyiwa utekelezaji 
wowote zimeweza kubainika baada ya Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi 
Selemani Japo kufanya ziara yake ya kikaz ya siku mbili kwa wananchi wa 
Wilaya ya Kibiti Mkoa wa Pwani hususan katika maeneo ya wananchi 
wanaoishi katika maeneo ya Delta kwa ajili ya kukagua miradi mbali mbali
 ya maendeleo pamoja na kubaini changamoto za muda mrefu zilizokuwa 
zinawakabili ili kuweza kuzitafutia ufumbuzi.
Kutokana na kuwepo kwa hali hiyo Mwandishi wa habari hizi aliweza 
kuzungumza na baadhi ya wakinamama ambao ndio wameonekana kuguswa zaidi 
katika afya akiwemo Fatma Mbashilu na Hafiswa Hamada wametoa kilio chao 
kwa Naibu Waziri huyo na kuweka bayana changamoto zinazowakabili wakati 
wa kujifungua kwani wanapandishwa katika kitanda cha kamba ambacho sio 
salama na kinawaumiza sambamba na kijifungulia kwa kutumia mwanga wa 
kibatali kutokana na eneo hilo la visiwani kutokuwa na nishati ya umeme.
“Sisi katika kijiji chetu hususan kinamama wajawazito kwa sasa 
tunakabiliwa na changamoto nyingi hasa katika upatikanaji wa kupewa 
huduma, kwani kwa sasa tunajifungulia katika kitanda cha kamba kwa hiyo 
tunajikuta wakati wa kujifungua tunapata maumivu mara mbili, kwa hiyo 
tunamwomba Waziri Jafo kwa kuwa ameamua kuja kututembelea huku visiwani 
atusaidie sisi wakinamama,”walisema kwa uchungu wakinamama hao.
Aidha walisema mbali na kukabiliwa na changamoto hiyo ya kitanda pia 
kero yao nyingine kubwa ni kutokana na kutumia mwanga wa kibatari katika
 kujifungulia na wakati mwingine wanakosa kabisa hela ya kununulia mafua
 ya taa, hivyo wanajikuta wanapata shida sana hasa katika nyakati za 
muda wa usiku wanakuwa katika hali ya sintofahamu.
Pia wakinamama hao walimpongeza Jafo kwa kuamua kwenda kuwatembelea 
katika maeneo ya delta wanayoishi kwani kwa kipindi kirefu hawajawahi 
kuona kiongozi mkubwa wa kitaifa wa serikali ambaye amekwenda kuwajulia 
hali, hivyo ujio wa waziri huo utaweza kuleta mabadiliko chanya katika 
kuleta maendeleo kwa wakazi wanaoishi maeneo hayo.
Naye Mganga mfawidhi wa zahanati ya Mchinga Kuluthumu Zuberi amekiri 
kuwepo kwa tatizo la kipindi cha muda mrefu kwa wakinamma hao 
kujifungulia katika mazingira amabayo sio rafiki kwa upande wao kwa 
kutumia kitanda kilichojengwa kwa miti na kamba ambapo amedai kiafya sio
 nzuri hivyo serikali inapaswa kuwasaidia ili kuboresha utoaji wa huduma
 kwa wagonjwa.
Akijibu malalamiko ya hayo ya wananchi Naibu Waziri Ofisi ya Rais 
Tamisemi Seleman Jafo ambaye alionekana kuchukizwa na kuwepo kwa hali 
hiyo aliamua kuchukua maamuzi magumu na kwa kupiga marufuku kabisa tabia
 ya kuona wauguzi au madaktari kuwalaza wakinamama wajawazito katika 
vitanda vya kamba pindi wanapokwenda kujifungua kwani kufanya hivyo kuna
 hatarisha usalama wa uhai wa mama na mtoto anayezaliwa.
Jafo alisema kuwa serikali ya awamu ya tano lengo lake kubwa ni 
kihakikisha kwamba wanaboresha sekta ya afya kuanzia ngazi za vijijini 
hivyo wamejipanga vilivyo katika kuzitatua changamoto zinazowakabili 
wananachi ili kuweza kuwapatia huduma nzuri, na kuongeza kuwa 
ameshamwagiza mkurugenzi wa halmashauri ya Kibiti kupeleka kitanda 
katika zahanati ya kijiji cha Mchinga ili wakinamama waondokana na kero 
hiyo ya kujifungulia katika kitanda cha kamba.
“Ninaagiza kuanzia sasa sitaki kuona wakinamama wajawazito 
wanajifungulia wakiwa katika kitanda cha miti, hii kwa upande wangu 
sipapendezwa nayo hata kidogo kwani inahatarisha maisha ya mama pamoja 
na mtoto wake kwa hivyo viongozi wa Wilaya ya Kibaiti kwa hili naomba 
mlifanyie kazi kwa haraka kupeleka kitanda kingine,”alisema Jafo.
Aidha katika hatua nyingine Jafo amewaagiza viongozi wa halmashauri ya 
Kibiti kuachana na tabia ya kufanya kazi kwa mazoea na badala yake 
wajikite zaidi kuwahudumia wananchi wao ikiwa sambamba na kuweka 
kipaumbele zaidi katika kutenga bajeti kwa ajili ya ununuzi wa madawa ya
 kuwatibu wagonjwa wakati wote hasa katika zahanati zote zilizopo katika
 maeneo yote yaliyozungukwa na maji Delta.
Naibu Wazari huyo kwa sasa yupo anaendelea na ziara yake ya kikazi 
katika  Mkoani Pwani ikiwa ni moja kukagua miradi mbali mbali ya 
maendeleo pamoja na kuweza kuibaini changamoto mbali mbali 
zinazowakabili wananchi hasa wale hasa wale wanaoishi vijijini ambao 
wamekuwa wakisahaulika na viongozi wao na kujikuta wanakosa mahitaji na 
huduma mbali mbali za msingi ikiwemo, afya, elimu, maji hivyo kuwafanya 
waishi katika mazingira magumu na kushindwa kufanya shughuli za 
kimaendeleo.
About Richard Mwaikenda 
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
 Naibu Waziri ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa 
(TAMISEMI) Seleman Jafo wa kati kati akiwa katika boti maeneo ya 
nyamisati mto Rufiji kwa ajili ya kujiandaa na safari ya kwenda 
kuwatembelea wananchi wa Wilaya ya Rufiji hususan wale wanaoishi katika 
maeneo ya Delta ikiwa ni ziara yake ya kikazi Mkoani Pwani ya kukagua 
miradi  mbali mbali ya maendeleo(PICHA NA VICTOR MASANGU)
Naibu Wazari Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa 
(TAMISEMI) Seleman Jafo wa kati kati akiwa kwenye boti katika ziara yake
 ya kikazi katika Wilaya ya Kibiti na viongozi wengine wa serikali,na wa
 kwanza kulia  kwake ni Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Kibiti 
Khatibu Chaurembo kwa ajili ya safari ya kwenda kuwatembelea wananchi wa
 maeneo ya Delta kwa ajili ya kukagua miradi ya  mbali mbali 
maendeleo.(PICHA NA VICTOR MASANGU)  
NA VICTOR MASANGU, KIBITI
LICHA ya serikali ya awamu ya tano kuongeza juhudi za kuboresha sekta ya
 afya katika maeneo mbali mbali hapa nchini bado sehemu nyingine utoaji 
wa huduma hali bado ni tete kutokana na kukabiliwa na changamoto mbali 
mbali ikiwemo ukosefu wa wauguzi,madaktari, madawa, magari ya kubebea 
wagonjwa,vitanda pamoja na vifaa tiba hivyo kusababisha wagonjwa kupata 
shida kubwa pindi wanapokwenda kupatiwa matibabu.
Changamoto hizo ambazo zinadaiwa ni sugu na hazijafanyiwa utekelezaji 
wowote zimeweza kubainika baada ya Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi 
Selemani Japo kufanya ziara yake ya kikaz ya siku mbili kwa wananchi wa 
Wilaya ya Kibiti Mkoa wa Pwani hususan katika maeneo ya wananchi 
wanaoishi katika maeneo ya Delta kwa ajili ya kukagua miradi mbali mbali
 ya maendeleo pamoja na kubaini changamoto za muda mrefu zilizokuwa 
zinawakabili ili kuweza kuzitafutia ufumbuzi.
Kutokana na kuwepo kwa hali hiyo Mwandishi wa habari hizi aliweza 
kuzungumza na baadhi ya wakinamama ambao ndio wameonekana kuguswa zaidi 
katika afya akiwemo Fatma Mbashilu na Hafiswa Hamada wametoa kilio chao 
kwa Naibu Waziri huyo na kuweka bayana changamoto zinazowakabili wakati 
wa kujifungua kwani wanapandishwa katika kitanda cha kamba ambacho sio 
salama na kinawaumiza sambamba na kijifungulia kwa kutumia mwanga wa 
kibatali kutokana na eneo hilo la visiwani kutokuwa na nishati ya umeme.
“Sisi katika kijiji chetu hususan kinamama wajawazito kwa sasa 
tunakabiliwa na changamoto nyingi hasa katika upatikanaji wa kupewa 
huduma, kwani kwa sasa tunajifungulia katika kitanda cha kamba kwa hiyo 
tunajikuta wakati wa kujifungua tunapata maumivu mara mbili, kwa hiyo 
tunamwomba Waziri Jafo kwa kuwa ameamua kuja kututembelea huku visiwani 
atusaidie sisi wakinamama,”walisema kwa uchungu wakinamama hao.
Aidha walisema mbali na kukabiliwa na changamoto hiyo ya kitanda pia 
kero yao nyingine kubwa ni kutokana na kutumia mwanga wa kibatari katika
 kujifungulia na wakati mwingine wanakosa kabisa hela ya kununulia mafua
 ya taa, hivyo wanajikuta wanapata shida sana hasa katika nyakati za 
muda wa usiku wanakuwa katika hali ya sintofahamu.
Pia wakinamama hao walimpongeza Jafo kwa kuamua kwenda kuwatembelea 
katika maeneo ya delta wanayoishi kwani kwa kipindi kirefu hawajawahi 
kuona kiongozi mkubwa wa kitaifa wa serikali ambaye amekwenda kuwajulia 
hali, hivyo ujio wa waziri huo utaweza kuleta mabadiliko chanya katika 
kuleta maendeleo kwa wakazi wanaoishi maeneo hayo.
Naye Mganga mfawidhi wa zahanati ya Mchinga Kuluthumu Zuberi amekiri 
kuwepo kwa tatizo la kipindi cha muda mrefu kwa wakinamma hao 
kujifungulia katika mazingira amabayo sio rafiki kwa upande wao kwa 
kutumia kitanda kilichojengwa kwa miti na kamba ambapo amedai kiafya sio
 nzuri hivyo serikali inapaswa kuwasaidia ili kuboresha utoaji wa huduma
 kwa wagonjwa.
Akijibu malalamiko ya hayo ya wananchi Naibu Waziri Ofisi ya Rais 
Tamisemi Seleman Jafo ambaye alionekana kuchukizwa na kuwepo kwa hali 
hiyo aliamua kuchukua maamuzi magumu na kwa kupiga marufuku kabisa tabia
 ya kuona wauguzi au madaktari kuwalaza wakinamama wajawazito katika 
vitanda vya kamba pindi wanapokwenda kujifungua kwani kufanya hivyo kuna
 hatarisha usalama wa uhai wa mama na mtoto anayezaliwa.
Jafo alisema kuwa serikali ya awamu ya tano lengo lake kubwa ni 
kihakikisha kwamba wanaboresha sekta ya afya kuanzia ngazi za vijijini 
hivyo wamejipanga vilivyo katika kuzitatua changamoto zinazowakabili 
wananachi ili kuweza kuwapatia huduma nzuri, na kuongeza kuwa 
ameshamwagiza mkurugenzi wa halmashauri ya Kibiti kupeleka kitanda 
katika zahanati ya kijiji cha Mchinga ili wakinamama waondokana na kero 
hiyo ya kujifungulia katika kitanda cha kamba.
“Ninaagiza kuanzia sasa sitaki kuona wakinamama wajawazito 
wanajifungulia wakiwa katika kitanda cha miti, hii kwa upande wangu 
sipapendezwa nayo hata kidogo kwani inahatarisha maisha ya mama pamoja 
na mtoto wake kwa hivyo viongozi wa Wilaya ya Kibaiti kwa hili naomba 
mlifanyie kazi kwa haraka kupeleka kitanda kingine,”alisema Jafo.
Aidha katika hatua nyingine Jafo amewaagiza viongozi wa halmashauri ya 
Kibiti kuachana na tabia ya kufanya kazi kwa mazoea na badala yake 
wajikite zaidi kuwahudumia wananchi wao ikiwa sambamba na kuweka 
kipaumbele zaidi katika kutenga bajeti kwa ajili ya ununuzi wa madawa ya
 kuwatibu wagonjwa wakati wote hasa katika zahanati zote zilizopo katika
 maeneo yote yaliyozungukwa na maji Delta.
Naibu Wazari huyo kwa sasa yupo anaendelea na ziara yake ya kikazi 
katika  Mkoani Pwani ikiwa ni moja kukagua miradi mbali mbali ya 
maendeleo pamoja na kuweza kuibaini changamoto mbali mbali 
zinazowakabili wananchi hasa wale hasa wale wanaoishi vijijini ambao 
wamekuwa wakisahaulika na viongozi wao na kujikuta wanakosa mahitaji na 
huduma mbali mbali za msingi ikiwemo, afya, elimu, maji hivyo kuwafanya 
waishi katika mazingira magumu na kushindwa kufanya shughuli za 
kimaendeleo.
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
 Naibu Waziri ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa 
(TAMISEMI) Seleman Jafo wa kati kati akiwa katika boti maeneo ya 
nyamisati mto Rufiji kwa ajili ya kujiandaa na safari ya kwenda 
kuwatembelea wananchi wa Wilaya ya Rufiji hususan wale wanaoishi katika 
maeneo ya Delta ikiwa ni ziara yake ya kikazi Mkoani Pwani ya kukagua 
miradi  mbali mbali ya maendeleo(PICHA NA VICTOR MASANGU)
Naibu Wazari Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa 
(TAMISEMI) Seleman Jafo wa kati kati akiwa kwenye boti katika ziara yake
 ya kikazi katika Wilaya ya Kibiti na viongozi wengine wa serikali,na wa
 kwanza kulia  kwake ni Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Kibiti 
Khatibu Chaurembo kwa ajili ya safari ya kwenda kuwatembelea wananchi wa
 maeneo ya Delta kwa ajili ya kukagua miradi ya  mbali mbali 
maendeleo.(PICHA NA VICTOR MASANGU)  
NA VICTOR MASANGU, KIBITI
LICHA ya serikali ya awamu ya tano kuongeza juhudi za kuboresha sekta ya
 afya katika maeneo mbali mbali hapa nchini bado sehemu nyingine utoaji 
wa huduma hali bado ni tete kutokana na kukabiliwa na changamoto mbali 
mbali ikiwemo ukosefu wa wauguzi,madaktari, madawa, magari ya kubebea 
wagonjwa,vitanda pamoja na vifaa tiba hivyo kusababisha wagonjwa kupata 
shida kubwa pindi wanapokwenda kupatiwa matibabu.
Changamoto hizo ambazo zinadaiwa ni sugu na hazijafanyiwa utekelezaji 
wowote zimeweza kubainika baada ya Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi 
Selemani Japo kufanya ziara yake ya kikaz ya siku mbili kwa wananchi wa 
Wilaya ya Kibiti Mkoa wa Pwani hususan katika maeneo ya wananchi 
wanaoishi katika maeneo ya Delta kwa ajili ya kukagua miradi mbali mbali
 ya maendeleo pamoja na kubaini changamoto za muda mrefu zilizokuwa 
zinawakabili ili kuweza kuzitafutia ufumbuzi.
Kutokana na kuwepo kwa hali hiyo Mwandishi wa habari hizi aliweza 
kuzungumza na baadhi ya wakinamama ambao ndio wameonekana kuguswa zaidi 
katika afya akiwemo Fatma Mbashilu na Hafiswa Hamada wametoa kilio chao 
kwa Naibu Waziri huyo na kuweka bayana changamoto zinazowakabili wakati 
wa kujifungua kwani wanapandishwa katika kitanda cha kamba ambacho sio 
salama na kinawaumiza sambamba na kijifungulia kwa kutumia mwanga wa 
kibatali kutokana na eneo hilo la visiwani kutokuwa na nishati ya umeme.
“Sisi katika kijiji chetu hususan kinamama wajawazito kwa sasa 
tunakabiliwa na changamoto nyingi hasa katika upatikanaji wa kupewa 
huduma, kwani kwa sasa tunajifungulia katika kitanda cha kamba kwa hiyo 
tunajikuta wakati wa kujifungua tunapata maumivu mara mbili, kwa hiyo 
tunamwomba Waziri Jafo kwa kuwa ameamua kuja kututembelea huku visiwani 
atusaidie sisi wakinamama,”walisema kwa uchungu wakinamama hao.
Aidha walisema mbali na kukabiliwa na changamoto hiyo ya kitanda pia 
kero yao nyingine kubwa ni kutokana na kutumia mwanga wa kibatari katika
 kujifungulia na wakati mwingine wanakosa kabisa hela ya kununulia mafua
 ya taa, hivyo wanajikuta wanapata shida sana hasa katika nyakati za 
muda wa usiku wanakuwa katika hali ya sintofahamu.
Pia wakinamama hao walimpongeza Jafo kwa kuamua kwenda kuwatembelea 
katika maeneo ya delta wanayoishi kwani kwa kipindi kirefu hawajawahi 
kuona kiongozi mkubwa wa kitaifa wa serikali ambaye amekwenda kuwajulia 
hali, hivyo ujio wa waziri huo utaweza kuleta mabadiliko chanya katika 
kuleta maendeleo kwa wakazi wanaoishi maeneo hayo.
Naye Mganga mfawidhi wa zahanati ya Mchinga Kuluthumu Zuberi amekiri 
kuwepo kwa tatizo la kipindi cha muda mrefu kwa wakinamma hao 
kujifungulia katika mazingira amabayo sio rafiki kwa upande wao kwa 
kutumia kitanda kilichojengwa kwa miti na kamba ambapo amedai kiafya sio
 nzuri hivyo serikali inapaswa kuwasaidia ili kuboresha utoaji wa huduma
 kwa wagonjwa.
Akijibu malalamiko ya hayo ya wananchi Naibu Waziri Ofisi ya Rais 
Tamisemi Seleman Jafo ambaye alionekana kuchukizwa na kuwepo kwa hali 
hiyo aliamua kuchukua maamuzi magumu na kwa kupiga marufuku kabisa tabia
 ya kuona wauguzi au madaktari kuwalaza wakinamama wajawazito katika 
vitanda vya kamba pindi wanapokwenda kujifungua kwani kufanya hivyo kuna
 hatarisha usalama wa uhai wa mama na mtoto anayezaliwa.
Jafo alisema kuwa serikali ya awamu ya tano lengo lake kubwa ni 
kihakikisha kwamba wanaboresha sekta ya afya kuanzia ngazi za vijijini 
hivyo wamejipanga vilivyo katika kuzitatua changamoto zinazowakabili 
wananachi ili kuweza kuwapatia huduma nzuri, na kuongeza kuwa 
ameshamwagiza mkurugenzi wa halmashauri ya Kibiti kupeleka kitanda 
katika zahanati ya kijiji cha Mchinga ili wakinamama waondokana na kero 
hiyo ya kujifungulia katika kitanda cha kamba.
“Ninaagiza kuanzia sasa sitaki kuona wakinamama wajawazito 
wanajifungulia wakiwa katika kitanda cha miti, hii kwa upande wangu 
sipapendezwa nayo hata kidogo kwani inahatarisha maisha ya mama pamoja 
na mtoto wake kwa hivyo viongozi wa Wilaya ya Kibaiti kwa hili naomba 
mlifanyie kazi kwa haraka kupeleka kitanda kingine,”alisema Jafo.
Aidha katika hatua nyingine Jafo amewaagiza viongozi wa halmashauri ya 
Kibiti kuachana na tabia ya kufanya kazi kwa mazoea na badala yake 
wajikite zaidi kuwahudumia wananchi wao ikiwa sambamba na kuweka 
kipaumbele zaidi katika kutenga bajeti kwa ajili ya ununuzi wa madawa ya
 kuwatibu wagonjwa wakati wote hasa katika zahanati zote zilizopo katika
 maeneo yote yaliyozungukwa na maji Delta.
Naibu Wazari huyo kwa sasa yupo anaendelea na ziara yake ya kikazi 
katika  Mkoani Pwani ikiwa ni moja kukagua miradi mbali mbali ya 
maendeleo pamoja na kuweza kuibaini changamoto mbali mbali 
zinazowakabili wananchi hasa wale hasa wale wanaoishi vijijini ambao 
wamekuwa wakisahaulika na viongozi wao na kujikuta wanakosa mahitaji na 
huduma mbali mbali za msingi ikiwemo, afya, elimu, maji hivyo kuwafanya 
waishi katika mazingira magumu na kushindwa kufanya shughuli za 
kimaendeleo.
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
 Naibu Waziri ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa 
(TAMISEMI) Seleman Jafo wa kati kati akiwa katika boti maeneo ya 
nyamisati mto Rufiji kwa ajili ya kujiandaa na safari ya kwenda 
kuwatembelea wananchi wa Wilaya ya Rufiji hususan wale wanaoishi katika 
maeneo ya Delta ikiwa ni ziara yake ya kikazi Mkoani Pwani ya kukagua 
miradi  mbali mbali ya maendeleo(PICHA NA VICTOR MASANGU)
Naibu Wazari Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa 
(TAMISEMI) Seleman Jafo wa kati kati akiwa kwenye boti katika ziara yake
 ya kikazi katika Wilaya ya Kibiti na viongozi wengine wa serikali,na wa
 kwanza kulia  kwake ni Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Kibiti 
Khatibu Chaurembo kwa ajili ya safari ya kwenda kuwatembelea wananchi wa
 maeneo ya Delta kwa ajili ya kukagua miradi ya  mbali mbali 
maendeleo.(PICHA NA VICTOR MASANGU)  
NA VICTOR MASANGU, KIBITI
LICHA ya serikali ya awamu ya tano kuongeza juhudi za kuboresha sekta ya
 afya katika maeneo mbali mbali hapa nchini bado sehemu nyingine utoaji 
wa huduma hali bado ni tete kutokana na kukabiliwa na changamoto mbali 
mbali ikiwemo ukosefu wa wauguzi,madaktari, madawa, magari ya kubebea 
wagonjwa,vitanda pamoja na vifaa tiba hivyo kusababisha wagonjwa kupata 
shida kubwa pindi wanapokwenda kupatiwa matibabu.
Changamoto hizo ambazo zinadaiwa ni sugu na hazijafanyiwa utekelezaji 
wowote zimeweza kubainika baada ya Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi 
Selemani Japo kufanya ziara yake ya kikaz ya siku mbili kwa wananchi wa 
Wilaya ya Kibiti Mkoa wa Pwani hususan katika maeneo ya wananchi 
wanaoishi katika maeneo ya Delta kwa ajili ya kukagua miradi mbali mbali
 ya maendeleo pamoja na kubaini changamoto za muda mrefu zilizokuwa 
zinawakabili ili kuweza kuzitafutia ufumbuzi.
Kutokana na kuwepo kwa hali hiyo Mwandishi wa habari hizi aliweza 
kuzungumza na baadhi ya wakinamama ambao ndio wameonekana kuguswa zaidi 
katika afya akiwemo Fatma Mbashilu na Hafiswa Hamada wametoa kilio chao 
kwa Naibu Waziri huyo na kuweka bayana changamoto zinazowakabili wakati 
wa kujifungua kwani wanapandishwa katika kitanda cha kamba ambacho sio 
salama na kinawaumiza sambamba na kijifungulia kwa kutumia mwanga wa 
kibatali kutokana na eneo hilo la visiwani kutokuwa na nishati ya umeme.
“Sisi katika kijiji chetu hususan kinamama wajawazito kwa sasa 
tunakabiliwa na changamoto nyingi hasa katika upatikanaji wa kupewa 
huduma, kwani kwa sasa tunajifungulia katika kitanda cha kamba kwa hiyo 
tunajikuta wakati wa kujifungua tunapata maumivu mara mbili, kwa hiyo 
tunamwomba Waziri Jafo kwa kuwa ameamua kuja kututembelea huku visiwani 
atusaidie sisi wakinamama,”walisema kwa uchungu wakinamama hao.
Aidha walisema mbali na kukabiliwa na changamoto hiyo ya kitanda pia 
kero yao nyingine kubwa ni kutokana na kutumia mwanga wa kibatari katika
 kujifungulia na wakati mwingine wanakosa kabisa hela ya kununulia mafua
 ya taa, hivyo wanajikuta wanapata shida sana hasa katika nyakati za 
muda wa usiku wanakuwa katika hali ya sintofahamu.
Pia wakinamama hao walimpongeza Jafo kwa kuamua kwenda kuwatembelea 
katika maeneo ya delta wanayoishi kwani kwa kipindi kirefu hawajawahi 
kuona kiongozi mkubwa wa kitaifa wa serikali ambaye amekwenda kuwajulia 
hali, hivyo ujio wa waziri huo utaweza kuleta mabadiliko chanya katika 
kuleta maendeleo kwa wakazi wanaoishi maeneo hayo.
Naye Mganga mfawidhi wa zahanati ya Mchinga Kuluthumu Zuberi amekiri 
kuwepo kwa tatizo la kipindi cha muda mrefu kwa wakinamma hao 
kujifungulia katika mazingira amabayo sio rafiki kwa upande wao kwa 
kutumia kitanda kilichojengwa kwa miti na kamba ambapo amedai kiafya sio
 nzuri hivyo serikali inapaswa kuwasaidia ili kuboresha utoaji wa huduma
 kwa wagonjwa.
Akijibu malalamiko ya hayo ya wananchi Naibu Waziri Ofisi ya Rais 
Tamisemi Seleman Jafo ambaye alionekana kuchukizwa na kuwepo kwa hali 
hiyo aliamua kuchukua maamuzi magumu na kwa kupiga marufuku kabisa tabia
 ya kuona wauguzi au madaktari kuwalaza wakinamama wajawazito katika 
vitanda vya kamba pindi wanapokwenda kujifungua kwani kufanya hivyo kuna
 hatarisha usalama wa uhai wa mama na mtoto anayezaliwa.
Jafo alisema kuwa serikali ya awamu ya tano lengo lake kubwa ni 
kihakikisha kwamba wanaboresha sekta ya afya kuanzia ngazi za vijijini 
hivyo wamejipanga vilivyo katika kuzitatua changamoto zinazowakabili 
wananachi ili kuweza kuwapatia huduma nzuri, na kuongeza kuwa 
ameshamwagiza mkurugenzi wa halmashauri ya Kibiti kupeleka kitanda 
katika zahanati ya kijiji cha Mchinga ili wakinamama waondokana na kero 
hiyo ya kujifungulia katika kitanda cha kamba.
“Ninaagiza kuanzia sasa sitaki kuona wakinamama wajawazito 
wanajifungulia wakiwa katika kitanda cha miti, hii kwa upande wangu 
sipapendezwa nayo hata kidogo kwani inahatarisha maisha ya mama pamoja 
na mtoto wake kwa hivyo viongozi wa Wilaya ya Kibaiti kwa hili naomba 
mlifanyie kazi kwa haraka kupeleka kitanda kingine,”alisema Jafo.
Aidha katika hatua nyingine Jafo amewaagiza viongozi wa halmashauri ya 
Kibiti kuachana na tabia ya kufanya kazi kwa mazoea na badala yake 
wajikite zaidi kuwahudumia wananchi wao ikiwa sambamba na kuweka 
kipaumbele zaidi katika kutenga bajeti kwa ajili ya ununuzi wa madawa ya
 kuwatibu wagonjwa wakati wote hasa katika zahanati zote zilizopo katika
 maeneo yote yaliyozungukwa na maji Delta.
Naibu Wazari huyo kwa sasa yupo anaendelea na ziara yake ya kikazi 
katika  Mkoani Pwani ikiwa ni moja kukagua miradi mbali mbali ya 
maendeleo pamoja na kuweza kuibaini changamoto mbali mbali 
zinazowakabili wananchi hasa wale hasa wale wanaoishi vijijini ambao 
wamekuwa wakisahaulika na viongozi wao na kujikuta wanakosa mahitaji na 
huduma mbali mbali za msingi ikiwemo, afya, elimu, maji hivyo kuwafanya 
waishi katika mazingira magumu na kushindwa kufanya shughuli za 
kimaendeleo.
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni