Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na 
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN) Antonio Manuel Olveira Guterres 
kabla ya kuanza mazungumzo yao katika Ofisi za  Makao Makuu ya Umoja wa 
Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia.
Katibu 
Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Manuel Olveira Guterres akimkaribisha 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kabla 
ya kuanza mazungumzo yao katika Ofisi za  Makao Makuu ya Umoja wa Umoja 
wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia.
 Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika 
mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN) Antonio Manuel Olveira
 Guterres katika Ofisi za  Makao Makuu ya Umoja wa Umoja wa Afrika (AU),
 Addis Ababa nchini Ethiopia.
 Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na 
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN) Antonio Manuel Olveira Guterres mara
 baada ya mazungumzo yao.
Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na
 Marais wa wa mataifa mbalimbali  katika mkutano wa AU unaoendelea mjini
 Addis Abba nchini Ethiopia.
 Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
 Rais wa Malawi Peter Mutharika kabla ya kuanza mazungumzo yao katika 
Ofisi za  Makao Makuu ya Umoja wa Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa 
nchini Ethiopia.
Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
ameshikana mikono na Rais wa Malawi Peter Mutharika pamoja na viongozi 
wengine mara baada ya kumaliza mazungumzo yao katika Ofisi za  Makao 
Makuu ya Umoja wa Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia.
 Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
 Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Kidemokrasia ya Sahrawi(SADR) Brahim 
Ghali katika Ofisi za  Makao Makuu ya Umoja wa Umoja wa Afrika (AU), 
Addis Ababa nchini Ethiopia. PICHA NA IKULU 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni