DONALD TRUMP AKWEPA KUISHUTUMU URUSI KWA UDUKUZI UCHAGUZI MKUU WA MAREKANI

Ripoti ya Kiintelejensia ya Marekani imesema rais wa Urusi Vladimir Putin aliamua kumsaidia Donald Trump kushinda uchaguzi wa urais wa Marekani.

Ripoti hiyo imesema kuwa kiongozi huyo wa Urusi aliagiza kufanyika kampeni yenye lengo la kujenga ushawishi wa matokeo ya uchaguzi.
Baada ya kupewa taarifa hiyo rais mteule Bw. Trump alisita kuishutumu Urusi kwa kitendo hicho na badala yake alisema kuwa hata hivyo matokeo ya uchaguzi hayakuathiriwa.
               Rais wa Urusi Vladmir Putin anashutumiwa kwa kuingilia uchaguzi wa Marekani

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni