WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA MGODI WA MAKA YA MAWEWA NGAKA UNAO MILIKIWA NA TANCOUL ULIOPO NAGAKA WILAYA YA MBINGA MKOA WA RUVUMA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Tancoul Bwana Mark McAnderew wakati alipotembelea mgodi wa makayamawewa Ngaka unaomilikiwa na kampuni ya Tancoul uliopo wilayani Mbinga kushoto kwa waziri mkuu ni Mwenyekiti wa bodi ya NDC Dr Samuel Nyantahe 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na mkurugenzi mkuu wa shirika la maendeleo la taifa (NDC) Mlingi Mkucha wakati alipotembelea mgodi wa makayamawe wa Ngaka unaomilikiwa na kampuni ya Tancoul uliopo wilayani Mbinga kushoto kwa waziri mkuu ni Mwenyekiti wa bodi ya NDC Dr Samuel Nyantahe. Picha na Chris Mfinanga
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia mkawamawe ulivyo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa ameongozana na mkuu wa mkoa wa Ruvama Mhandisi Mahenge pamoja naviongozi mbalimbali walipokuwa wanatemmbelea mgodi wa Ngaka. Picha na Chris Mfinanga
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Ofisa Rasilimsilimali watu wa kampuni ya Tancoul Ms Pendo Mweli wakati alipotembelea mgodi wa makayamawe unaomilikiwa na kampuni ya Tancoul uliopo Ngaka wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia shughuli za uchimbaji wa makayamawe unavyo fanywa nakampuni ya Tancoul katika mgodi wa Ngaka uliopo wilayani Mbinga kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la maendeleo la taifa NDC Dr Samuel Nyantahe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni