WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA MGODI WA MAKA YA MAWEWA NGAKA UNAO MILIKIWA NA TANCOUL ULIOPO NAGAKA WILAYA YA MBINGA MKOA WA RUVUMA
posted on
Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya
Tancoul Bwana Mark McAnderew wakati alipotembelea mgodi wa makayamawewa
Ngaka unaomilikiwa na kampuni ya Tancoul uliopo wilayani Mbinga
kushoto kwa waziri mkuu ni Mwenyekiti wa bodi ya NDC Dr Samuel Nyantahe
Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na mkurugenzi mkuu wa shirika la
maendeleo la taifa (NDC) Mlingi Mkucha wakati alipotembelea mgodi wa
makayamawe wa Ngaka unaomilikiwa na kampuni ya Tancoul uliopo wilayani
Mbinga kushoto kwa waziri mkuu ni Mwenyekiti wa bodi ya NDC Dr Samuel
Nyantahe. Picha na Chris Mfinanga
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia mkawamawe ulivyo
Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akiwa ameongozana na mkuu wa mkoa wa Ruvama
Mhandisi Mahenge pamoja naviongozi mbalimbali walipokuwa wanatemmbelea
mgodi wa Ngaka. Picha na Chris Mfinanga
Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Ofisa Rasilimsilimali watu wa
kampuni ya Tancoul Ms Pendo Mweli wakati alipotembelea mgodi wa
makayamawe unaomilikiwa na kampuni ya Tancoul uliopo Ngaka wilayani
Mbinga Mkoani Ruvuma
Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia shughuli za uchimbaji wa makayamawe
unavyo fanywa nakampuni ya Tancoul katika mgodi wa Ngaka uliopo wilayani
Mbinga kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la maendeleo la taifa
NDC Dr Samuel Nyantahe
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni