Waziri
 wa Maliasili na Utalii,Prof,Jumanne Maghembe akitoa hotuba yake wakati 
wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa
 (TANAPA) iliyofanyika katika ukumbi wa Mahakama ya Afrika jijini 
Arusha.
Wajumbe
 wa Bodi ya Wadhamini wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) 
wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Maliasili na Utalii,Prof ,Jumanne 
Maghembe . 
Mwenyekiti
 wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Mkuu wa 
Majeshi Mstaafu ,Jenerali George Waitara akifuatilia hotuba ya uzinduzi 
wa Bodi hiyo iliyotolewa na Waziri wa Maliasili na Utalii ,Prof,Jumanne 
Maghembe. 
Waziri
 wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akimkabidhi vitendea kazi 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi 
ambaye pia ni mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Tanapa .
Waziri
 wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akimkabidhi vitendea kazi 
Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Tanapa Dkt Chanasa Mpelumbe Ngeleja. 
Waziri
 wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akimkabidhi vitendea kazi 
Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Tanapa Prof Wineaster Anderson 
Waziri
 wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akimkabidhi vitendea kazi 
Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Tanapa Prof,Alexander Songorwa.
Waziri
 wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akikabidhi vitendea kazi 
Devota Mdachi mjumbe wa bodi ya Wadhamini wa Shirika la Hifadhi za Taifa
 (TANAPA) .
Mwenyekiti
 wa Bodi ya Wadhamini wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Mkuu wa 
Majeshi Mstaafu ,Jenerali George Waitara akitoa salam zake wakati wa 
uzinduzi wa Bodi hiyo uliofanika katika ukumbi wa Mhakama ya Afrika 
jijini Arusha.
Waziri
 wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akifurahia jambo na 
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini iliyomaliza muda wake Modestus Lilungulu
 walpkutana katika hafla fupi ya uzinduzi wa bodi mpya . 
Mkurugenzi
 wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi ambaye pia ni 
mjumbe wa Bodi hiyo akifanya utamburisho wa wajumbe wa bodi ya Wadhamini
 wa shirika hilo. 
Mjumbe
 wa Bodi ya Wadhamini ya TANAPA,Prof,Wineaster Anderson ambaye pia ni 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Taasisi ya 
Maliasili na Utalii endelevu Afrika (NARESTi Africa) akitamburishwa kwa 
wafanyakazi wa Shirika hilo.
 Mjumbe
 wa Bodi ya Wadhamini ya TANAPA, Dkt Lucy Lugwisa kutoka Baraza la Taifa
 la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira akitamburishwa kwa wafanyakazi wa 
Shirika hilo.
 Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya TANAPA,Prof,Alexander Songorwa ambaye 
pia ni Mkurugenzi wa Wanyamapori kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii 
akitamburishwa kwa wafanyakazi wa shirika hilo.
 Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya TANAPA,Kamishna Marijani Nsato ambaye 
pia ni Mkuu wa Operesheni na Mafunzo Makao Makuu ya jeshi la Polisi 
akitamburishwa kwa wafanyakazi wa shirika hilo.
 Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya TANAPA,Dkt Chanasa Mpalumbe Ngeleja 
ambaye pia ni Daktari Mkuu wa Mifugo ,Wizara ya Kilimo ,Mifugo na Uvuvi 
akitamburishwa kwa wafanyakazi wa shirika hilo.
 Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya TANAPA,George Fumbuka ambaye pia ni 
Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti wa Kampuni ya Core Securities akitamburishwa
 kwa wafanyakazi wa shirika hilo.
Mjumbe
 wa Bodi ya Wadhamini ya TANAPA,Devota  Mdachi ambaye pia ni Mkurugenzi 
wa Bodi ya Utalii nchini akitamburishwa kwa wafanyakazi wa Shirika hilo.
 
Mwenyekiti
 wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) 
iliyomaliza muda wake ,Modestus Lilungulu akitoa salam zake wakati wa 
uzinduzi rasmi wa Bodi mpya ya Wadhamini ya TANAPA. 
Baadhi
 ya wafanyakazi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) wakifuatilia 
uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa Mahakama ya Afrika jijini 
Arusha. 
Mwenyekiti
 wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA),Mkuu wa 
Majeshi Mstaafu,Jenerali George Waitara (kushoto) akizungumza jambo na 
Waziri wa Maliasili na Utalii,Prof ,Jumanne Maghembe mara baada ya 
kuzinduliwa kwa Bodi hiyo.katikati ni Mkurugenzi wa TANAPA,Allan Kijazi.
 
 Waziri
 wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akiwa katika picha ya 
pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa 
(TANAPA) muda mfupi baada ya bodi hiyo kuzinduliwa. 
 Waziri
 wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe pamoja na Wajumbe wa Bodi 
ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) wakiwa katika picha
 ya pamoja na Wakurugenzi wa idara mbalimbali katika shirika hilo.




 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni