KATIBU TAWALA AKUTANA NA WAJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA


Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Richard Kwitega, akiwa na wajumbe kutoka Benki ya Dunia ofisini kwake pamoja na wataalamu kutoka katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa,Arusha.


Kiongozi wa ujumbe kutoka Benki ya Dunia Bwana Nicholas Soikan (mwenye suti ya blue) akiandika maelezo yaliyokuwa yanatolewa na wataalamu kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa (Hawapo pichani),katika ofisi ya katibu tawala,Arusha.


Katibu Tawala Bwana Richard Kwitega,akiongoza kikao kilichowakutanisha ujumbe kutoka Benki ya Dunia na wataalamu kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa,Arusha.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni