KIKUNDI CHA TUWAJALI FOUNDATION CHAANZA MWAKA KWA KUSAIDIA KITUO CHA SIFA KILICHOPO BUNJU B DAR

Baadhi ya wanakikundi cha Tuwajali Foundation wakiwa pamoja na watoto wa kituo cha Sifa wakati walipo watembelea na kutoa msaada.
                                          Baadhi ya vitu vimetolewa kwa kituo cha Sifa Foundation
Bi. Sifa (Kulia) ambaye ndiye mwanzilishi wa kituo hicho cha Sifa Foundation akiwa anatoa shukurani kwa mmoja wa kiongozi wa Tuwajali Foundation Bw. Nurdin baada ya kupokea msaada wa vitu mbalimbali ikiwa ni pamoja na Unga, Mchele, Sabuni, Nguo na vitu vya kuchezea watoto.

            Baadhi ya wanakundi la Tuwajali wakiwa katika kituo hicho na watoto
          Baadhi ya wanakundi la Tuwajali wakiwa katika kituo hicho na watoto

Wanakundi wa Tuwajali wakiwa pamoja na watoto hao baada ya shughuri ya kukabidhi msaada huo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni