WAZIRI MKUU MH. MAJALIWA AKUTANA NA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF JIJI DAR ES SALAAM

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamu wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif Iddi kabla ya mazungumzo yao Ofisini kwake jijini Dar es salaam Januari 16, 2016.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Makamu wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif Iddi, ofisini kwake jijini Dar es salaam Januari 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni