WAZIRI NAPE:HONGERA SANA BWANA MICHUZI KWA KUWA MWENYEKITI WA FK


mwenyekiti
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (mwenye suti ya kijivu) akimpongeza mwenyekiti mpya wa FK aliyeteuliwa hivi karibuni Bw. Ahmed Michuzi ambaye pia ni Mmiliki  wa Blogu ya Jiachie na mkurugenzi mwandamzi  wa Michuzi  Michuzi Media alikuwa mwanachama mwaminifu wa FK, tukio hilo limetokea leo wakati alipokutana naye kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo  jijini Dar es salaam, Cheo hicho kilikuwa kikishikiliwa na Kamanda Richard Mwaikenda.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni