Katika maeneo ya Mkwajuni 
Kinondoni baadhi ya wananchi wamefunga barabara wanachoma matairi kwa 
kile wanachodai kupinga bomoa bomoa Askari wako eneo la tukio wakijaribu
 kuwazuia kufanya matukio hayo na hakuna magari yanayoweza kupita eneo 
hilo kutokana na vurugu zilizoababisha  kufungwa kwa barabara hiyo ya 
kutoka Moroco kwenda Magomeni.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni