Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na watumishi wa serikali na Halmashauri ya wilaya ya
Arumeru kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha  Desemba 17,
2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya watumishi wa halmashauri
ya wilaya ya Arumeru wakimsikiliza waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya
Arusha, Desemba 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa 
akipokea taarifa ya maendeleo ya wilaya ya Arumeru baada ya kusomewa 
taarifa hiyo na Mkuu  wa wilaya hiyo,   Alexander  Mnyeti kwenye
ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha  Desemba 17, 2016. (Picha
na Ofisi ya Wairi Mkuu)



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni