MAJALIWA AANZA ZIARA WILAYANI ARUMERU NA KUZUNGUMZA NA WATUMISHI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa serikali na Halmashauri ya wilaya ya Arumeru kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha Desemba 17, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Arumeru wakimsikiliza waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha, Desemba 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea taarifa ya maendeleo ya wilaya ya Arumeru baada ya kusomewa taarifa hiyo na Mkuu wa wilaya hiyo, Alexander Mnyeti kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Arusha Desemba 17, 2016. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni