Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wajumbe wa bodi ya Benki ya 
Uchumi Commercial, tawi la Karatu kabla ya kufungua benki hiyo Desemba 
5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Baadhi
 ya viongozi na watumishi wa Benki ya Uchumi Commercial tawi la Karatu 
wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipozungumza kabla 
ya kufungua tawi hilo Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza kabla ya kufungua Benki ya Uchumi 
Commercial tawi la Karatu Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri 
Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Benki
 ya Uchumi Commercial  tawi la Karatu baada ya kuifungua Desemba 5, 
2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Benki
 ya Uchumi Commercial  tawi la Karatu baada ya kuifungua Desemba 5, 
2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea Benki ya Uchumi Commercial, tawi la 
Karatu  baada ya kuifungua Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri 
Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa  Bodi 
ya Benki ya Uchumi Commercial, tawi la  Karatu baada ya kuifungua Benki 
hiyo Desemba , 2016. Wapili kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, 
Mrisho Gambo. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni