MAJALIWA AZINDUA BENKI YA UCHUMI COMMERCIAL KATIKA MJI MDOGO WA KARATU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wajumbe wa bodi ya Benki ya Uchumi Commercial, tawi la Karatu kabla ya kufungua benki hiyo Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya viongozi na watumishi wa Benki ya Uchumi Commercial tawi la Karatu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza kabla ya kufungua tawi hilo Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza kabla ya kufungua Benki ya Uchumi Commercial tawi la Karatu Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Benki ya Uchumi Commercial tawi la Karatu baada ya kuifungua Desemba 5, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Benki ya Uchumi Commercial tawi la Karatu baada ya kuifungua Desemba 5, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea Benki ya Uchumi Commercial, tawi la Karatu baada ya kuifungua Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Benki ya Uchumi Commercial, tawi la Karatu baada ya kuifungua Benki hiyo Desemba , 2016. Wapili kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni