Mkuu
  wa  wilaya ya  Iringa Richard Kasesela  (kushoto ) na mfanyabiashara  
Geofrey Mungai wakiwa  wamewapakata watoto yatima  wa  kituo cha Daily 
Bread Life Ministres cha Mkimbizi  katika Manispa ya Iringa waliokuwa  
wametupwa na  wazazi  wao na kuchukuliwa na  kituo hicho jana  wakati 
Mungai  alipofika  kukabidhi chakula na nguo za  sikukuu ya Krismas na 
mwaka mpya kwa  watoto hao 
Mkuu  wa  wilaya   ya Iringa Bw Kasesela  akisalimiana na Geofrey Mungai kulia 
Bw  Mungai  akiwa na mmoja kati ya  watoto yatima   wanaolelewa  kituo cha DBL 
Viongozi
 mbali mbali  wakiwa katika  picha ya  pamoja na yatima  wa  kituo cha 
DBL  kutoka  kushoto ni mkurugenzi wa   kituo  hicho mchungaji Mpeli 
Mwaisumbe , mfadhili Geofrey  Mungai , katibu wa CCM Iringa , mwenyekiti
 wa CCM Iringa mjini , mkuu wa wilaya  ya  Iringa Bw kasesela,mbunge 
viti maalum Iringa Ritta kabati ,diwani Dolla Nziku 
Mtoto wa  mbunge Mwamoto Leah akitoa ahiadi yake ya  Tsh 50000 kwa  ajili ya  kusaidia yatima 
katibu wa CCM Iringa mjini akiahidi  kuchangia  yatima  hao 
Mbunge Kabati  akiahidi  kuchangia Tsh 500,000 kwa ajili ya Yatima  hao
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni