MUNGAI ASAIDIA YATIMA IRINGA MISAADA YA TSH MILIONI 4.5 KWA AJILI YA SIKUKUU YA KRISMAS

Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela (kushoto ) na mfanyabiashara Geofrey Mungai wakiwa wamewapakata watoto yatima wa kituo cha Daily Bread Life Ministres cha Mkimbizi katika Manispa ya Iringa waliokuwa wametupwa na wazazi wao na kuchukuliwa na kituo hicho jana wakati Mungai alipofika kukabidhi chakula na nguo za sikukuu ya Krismas na mwaka mpya kwa watoto hao 
Mkuu wa wilaya ya Iringa Bw Kasesela akisalimiana na Geofrey Mungai kulia 









Bw Mungai akiwa na mmoja kati ya watoto yatima wanaolelewa kituo cha DBL 
Viongozi mbali mbali wakiwa katika picha ya pamoja na yatima wa kituo cha DBL kutoka kushoto ni mkurugenzi wa kituo hicho mchungaji Mpeli Mwaisumbe , mfadhili Geofrey Mungai , katibu wa CCM Iringa , mwenyekiti wa CCM Iringa mjini , mkuu wa wilaya ya Iringa Bw kasesela,mbunge viti maalum Iringa Ritta kabati ,diwani Dolla Nziku 
Mtoto wa mbunge Mwamoto Leah akitoa ahiadi yake ya Tsh 50000 kwa ajili ya kusaidia yatima 
katibu wa CCM Iringa mjini akiahidi kuchangia yatima hao 
Mbunge Kabati akiahidi kuchangia Tsh 500,000 kwa ajili ya Yatima hao

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni