Home
News
Lifestyle
Fashion
Nature
Health
Travel
About
Conact
Habari
Kitaifa
SAFARI YA MWISHO YA WANAHABARI NA ASKARI WA JESHI LA ULINZI KATIKA KITUO CHA KIBO KABLA YA KUELEKEA KILELE CHA UHURU.
posted on
05:03:00
Baada ya kupuumzika kwa siku mbili katika kituo cha Horombo kwa ajili ya kuzoea hali ya hewa ,safari ya kuelekea kituo cha mwisho cha Kibo ikaanza .
Safari ilivyoendelea hali ya hewa ilibadirika arikadhalika uoto wa misitu mifupi ulianza kutoweka kadri safari ilivyoenedelea.
Safari iliendelea kwa motto wa "Mdogo Mdogo".
Wakati mwingine kulihitajika maneno ya faraja ili kufanikisha safari hii.
Eneo hili ndilo la mwisho katika Mlima Kilimanjaro kuona maji yakitiririka wakati wa safafri ya kupanda Mlima Kilimnjaro.
Kutokana na kubadirika kwa hali ya hewa ,washiriki wengine walivalia vizuia upepo,wenyewe walivipa jina "Shilawadu".
Baadae uoto wa misitu ukatoweka kabisa ,safari ikawa ni ya kupita katika eneo la jangwa likijulikana kama Saddle.
Safari iliendelea ya kufika kituo cha mwisho cha Kibo Hut.
Wenye kuhitaji Msaada ,walipata msaada.
Mapumziko kwa ajili ya kupata Chakula yalifanyika katika eneo la Saddle.
Safari iliendelea ikiambatana na mvua katika eneo la Jiwe la Okoyo.
Hatimaye Safari ya kutoka kituo cha Horombo ikafikia tamati katika kituo cha Kibo Huts.
Washiriki wakapata picha ya pamoja kabla ya kupata mapumziko kujiandaa na sfari ya kuelekea Kileleni itakayofanyika majira ya saa 5 usiku.
Na Globu ya Jamii aliyekuwa katika safari
hiyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
About us
Twitter
Facebook
GooglePlus
Pinterest
Linkedin
Instagram
Youtube
Github
Vimeo
Dribbble
Tumblr
Stumbleupon
Delicious
Reddit
Contact
RSS
Popular Posts
TENGERU CDTI YAONGEZA UDAHILI
Na Ahemd Mahmoud Katika juhudi za serikali za kuimarisha mazingira ya ujifunzaji wanafunzi wa kike hapa nchini,Taasisi ya maendeleo ya jami...
BONAZA MASAUNI CUP YATIKISA ZANZIBAR
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Abdalla Bulembo wa kwanza kushoto Mbunge wa Kikwajuni Mhe Hamad Masauni na Kada wa CCM Abass Bahari...
BOSS WA UN, ALVARO RODRIGUEZ ATEMBELEA SABASABA, ASEMA MAONYESHO NI FURSA YA KUJIFUNZA
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Jacqueline Mneney Maleko (wa tatu kushoto) akiongozana na Mra...
EAC SECRETARY GENERAL RECEIVES CREDENTIALS FROM IRISH AMBASSADOR
East African Community PRESS RELEASE EAC SECRETARY GENERAL RECEIVES CREDENTIALS FROM IRISH AMBASSADOR East African Community ...
WAZIRI DKT MABULA ATAKA UWAJIBAKI KWA MAKAMISHNA WA ARDHI KUFIKIA MALENGO YA WIZARA
Na Ahmed Mamoud Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka Makamishna Wasaidizi wa Ardhi wa mikoa nchini ku...
LOWASSA AITIKISA MAKAMBAKO NA NJOMBE JANA
Msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHAD...
MAGUFULI AENEDELEA KUJITAMBULISHA NA KUWASHUKURU WANACHI WA CHATO MPAKA DODOMA KWA KISHINDO
Baadhi ya Wananchi wa mji wa Kahama mkoani Shinyanga na vitongoji vyake wakiwa wamefunga barabara wakitaka kumsalimia kwa furaha kubw...
SERIKALI YASAINI MKATABA WA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 422 KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NCHINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akisaini hati ya makubaliano ya mkopo nafuu kati ya Serikali ya Tanzan...
RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AFUTARISHA WANANCHI WETE, PEMBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)akishiriki katika swala ya magharibi iliyo...
NAIBU WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR ISSA USI GAVU AFUNGUA MKUTANO WA MAADHIMISHO YA SIKU YA BAHARI DUNIANI UNAOFANYIKA KITAIFA MKOANI MTWARA LEO MCHANA
Sehemu ya wajumbe wa Mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani, uliofanyika Kitaifa mkoani Mtwara,leo mchana, wakisikiliza mada ...
Social Share Icons
19,701
9,297
4,182
2,157
1,052
Archives
►
2022
(10)
►
Novemba
(5)
►
Aprili
(2)
►
Machi
(1)
►
Februari
(2)
►
2021
(1)
►
Julai
(1)
►
2018
(499)
►
Novemba
(2)
►
Septemba
(29)
►
Agosti
(83)
►
Julai
(11)
►
Juni
(121)
►
Mei
(79)
►
Aprili
(81)
►
Machi
(54)
►
Februari
(14)
►
Januari
(25)
►
2017
(461)
►
Novemba
(31)
►
Oktoba
(28)
►
Septemba
(24)
►
Agosti
(10)
►
Julai
(9)
►
Juni
(45)
►
Mei
(54)
►
Aprili
(31)
►
Machi
(73)
►
Februari
(112)
►
Januari
(44)
▼
2016
(1558)
▼
Desemba
(63)
ZIARA YA MAJALIWA RUANGWA
RAIS DKT. MAGUFULI ASHIRIKI MSIBA WA MZEE MAARUFU ...
JESHI LA POLISI ARUSHA:WATAKAOCHOMA MATAIRI,FAINI ...
MAAMUZI YA RUFAA YA KESI YA LEMA KUJULIKANA 4 JANU...
WENGI WAJITOKEZA KWENYE MSIBA WA MPOKI BUKUKU TABATA
RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MKEWE MAMA JANETH WAS...
NYOTA WA POP GEORGE MICHAEL AFARIKI DUNIA
RC GAMBO AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA
VYOMBO VYA HABARI HAVIKUTANGAZA WAGOMBEA WANAWAKE,...
WANAUME WASINDIKIZENI WAKE ZENU KILINIKI
BEN POL AWAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA,NDAN...
SUALA LA KUACHIANA VITI VYA KUGOMBEA UBUNGE NA UDI...
MRADI WA GREEN VOICES WAFANIKISHA UTENGENEZAJI WA ...
SAFARI YA MWISHO YA WANAHABARI NA ASKARI WA JESHI ...
MWANDISHI WA HABARI WA ITV NA REDIO ONE AKITOKA KA...
RAIS DKT MAGUFULI NA MKEWE MAMA JANETH MAGUFULI WA...
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO SADIKI MECK SADIKI AKI...
MUNGAI ASAIDIA YATIMA IRINGA MISAADA YA TSH MILION...
TAASISI YA UTAFITI YA MAGONJWA YA BINADAMU KILIMAN...
ZIARA YA SHAKA MISENYI NA BUKOBA MJINI YAFANA
RAIS MAGUFULI AFANYA UAPISHO WA MWENYEKITI NEC, KA...
TSN YAADHIMISHA MIAKA 10 YA GAZETI LAKE LA HABARILEO
LUKUVI ATOA HATI 154 KWA WAKAZI WA BUNDA MKOANI MARA
KAIMU MKURUGENZI WA RAHCO AKUTANA NA WAFANYABIASHA...
MKUU WA MKOA WA NJOMBE MHE OLE SENDEKA AANZA ZIARA...
MAMLAKA YA BANDARI YASAHURIWA KUITUPIA JICHO BANDA...
WAZIRI WA AFYA APOKEA NYUMBA 20 ZA WATUMISHI WA AF...
MWILI WA BALOZI WA URUSI ALIYEUWAWA ANKARA WAWASIL...
SHAMBULIZI LA BERLIN LASABABISHA ULINZI KUONGEZWA ...
FATAKI ZALIPUKA SOKONI NA KUUWA WATU 36 MEXICO
KUWAIT YAIPATIA TANZANIA MKOPO NAFUU WA UJENZI WA ...
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI DIRA TV
WANAKIJIJI WALIO KWENYE MRADI WA BACKBONE KUUNGANI...
MAAFISA USALAMA UJERUMANI LAWAMANI KWA UZEMBE SHAM...
HALI YA LEMA TETE ASHINDWA KUFIKA MAHAKAMANI LEO 2...
ZOWEZI LA KUTOA ELIMU KWAABIRIA PAMOJA NA UPIMAJI ...
KIMBUNGA CHAKATISHA HOTUBA YA ZUMA BAADA YA HEMA K...
MAJALIWA AANZA ZIARA WILAYANI ARUMERU NA KUZUNGUMZ...
EAC ORGANS AND INSTITUTIONS ON RECESS FOR X-MAS AN...
WAZIRI MKUU AMSIMAMISHA KAZI MWEKAHAZINA WA WILAYA...
MAJALIWA AWASILI WILAYA YA LONGIDO NA KUZUNGUMZA N...
WALIOUZA KIWANJA CHA SHULE WACHUKULIWE HATUA-MAJALIWA
TGNP YAKUTANISHA WATENDAJI KUJADILI CHANGAMOTO SER...
CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI (MoCU) CHAFANYA MAHA...
TUME YA MIPANGO YASHAURI SEKTA BINAFSI KUCHANGAMKI...
REGIONAL CONSULTATION ON DRAFT EAC SANITARY AND PH...
HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA YAINGIA MKATABA KUBOR...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - KIKAO CHA NEC
PARLIAMENT OF UGANDA ARE CHAMPS IN FOOTBALL
WANAHABARI NA ASKARI WA JESHI LA ULINZI WALIOPANDA...
MAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA KUKAMUA MAFUTA YA K...
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS DKT. ...
EAC AND UNECA HOLD SEMINAR ON IMPLEMENTING AU DECL...
MAJALIWA AKIONDOKA KWENYE ENEO LA MKUTANO ALIOUHUT...
MAJALIWA AZINDUA BENKI YA UCHUMI COMMERCIAL KATIKA...
ITALY ACCREDITS AMBASSADOR TO EAC BLOC
MAJALIWA AWASILI NGORONGORO
EALA OFF TO A GOOD START IN FOOTBALL
LET THE GAMES BEGIN…
WAKAGUZI WA NDANI WATAKIWA KUSIMAMIA UBORA WA MIRA...
MAJALIWA :TUMIENI BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA VIWANDA...
UZINDUZI WA KISMAT ADVERT MEDIA WAFANA JIJINI ARUSHA
Waziri mkuu Kassimu Mjaliwa awaagiza idara ya uham...
►
Novemba
(232)
►
Oktoba
(200)
►
Septemba
(142)
►
Agosti
(109)
►
Julai
(130)
►
Juni
(113)
►
Mei
(83)
►
Aprili
(102)
►
Machi
(117)
►
Februari
(212)
►
Januari
(55)
►
2015
(1044)
►
Desemba
(177)
►
Novemba
(154)
►
Oktoba
(199)
►
Septemba
(168)
►
Agosti
(93)
►
Julai
(141)
►
Juni
(112)
Inaendeshwa na
Blogger
.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni