Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua  kiwanda cha kukamua mafuta ya kula cha 
Meru kilichopo mjini Singida, Desemba 12, 2017. Watatu kulia ni 
Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Meru, Bw. Atul Mittal. (Picha na Ofisi 
ya Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha kukamua mafuta ya kula cha 
Meru kilichopo mjini Singida, Desemba 12, 2017.  Wanne kushoto ni Mkuu 
wa mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi na kushoto kwake  ni Mkurugenzi 
Mkuu wa Makampuni ya Meru, Bw. Atul Mittal. (Picha na Ofisi ya Waziri 
Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua  kiwanda cha kukamua mafuta ya kula cha 
Meru kilichopo mjini Singida, Desemba 12, 2017. Watatu kulia ni 
Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Meru, Bw. Atul Mittal. (Picha na Ofisi 
ya Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa  akionyeshwa mafuta  ya kula na Mkurugenzi wa 
Mkuu wa Makampuni ya Meru, Bw. Atul Mittal  (kushoto) wakati 
alipotembelea kiwanda cha kukamua mafuta cha Meru kilichopo mjini 
Singida, Desemba 12, 2016.  Wapili kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani, 
Mwigulu Nchemba na watatu kulia na Mbunge wa Viti Maalum na Mwenyekiti 
wa CCM wa mkoa wa Singida, Martha Mlata. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha kukamua mafuta ya kula cha 
Meru kilichopo Singida mjini Desemba 12, 2016.  Wapili kulia ni 
Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Meru, Bw. Atul Mittal. (Picha na Ofisi 
ya Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugezi Mkuu wa 
makampuni ya Meru, Bw. Atul Mittal kuhusu mafuta ya kula yanayozalishwa 
na kiwanda cha Meru cha Singida mjini wakati alipotembelea kiwanda hicho
 Desemba 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni