Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na 
Mke wake Mama Janeth Magufuli wakiwa katika Misa ya Krismasi katika 
Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida.
                                                                                                      Hapa wakiwa katika sala.
                                                                                    Rais Magufuli na mkewe wakisilkiliza neno
Mke
 wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwasalimia waumini wa Kanisa Kuu la Moyo
 Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida mara baada ya kushiriki Misa ya 
Krismasi katika kanisa hilo mkoani Singida 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akiwasalimia waumini wa Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani 
Singida mara baada ya kushiriki Misa ya Krismasi katika kanisa hilo 
mkoani Singida. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru
 Baba Askofu wa Jimbo la Singida Askofu Edward Mapunda mara baada ya 
Ibada ya Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani 
Singida. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 jambo na Baba Askofu wa Jimbo la Singida Askofu Edward Mapunda mara 
baada ya Ibada ya Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu 
mkoani Singida. 
Baba
 Askofu wa Jimbo la Singida Askofu Edward Mapunda akimuombea na 
kumbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli mara baada ya Ibada ya Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo 
Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na 
mkewe Mama Janeth Magufuli wakisalimiana na waumini wa Kanisa Kuu la 
Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida mara baada ya ibada ya Krismasi 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na 
mkewe Mama Janeth Magufuli wakipunga mkono wakati wakitoka kwenye Kanisa
 Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida. PICHA NA IKULU
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni