Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Karatu baada ya 
kuwahutubia kwenye uwanja wa Mazingira  Bora katika  mji Mdogo wa Karatu
 akiwa katika ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 5, 2016.(Picha na Ofisi ya
 Waziri Mkuu) 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akiondoka kwenye uwanja wa Mazingira Bora baada 
ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye mji mdogo wa Karatu akiwa katika 
ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 5, 2016. (Picha naOfisi ya Waziri Mkuu) 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni