MAJALIWA AKIONDOKA KWENYE ENEO LA MKUTANO ALIOUHUTUBIA KARATU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Karatu baada ya kuwahutubia kwenye uwanja wa Mazingira Bora katika mji Mdogo wa Karatu akiwa katika ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 5, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiondoka kwenye uwanja wa Mazingira Bora baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye mji mdogo wa Karatu akiwa katika ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 5, 2016. (Picha naOfisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni