MWANDISHI WA HABARI WA ITV NA REDIO ONE AKITOKA KATIKA KITUO CHA POLISI BAADA YA KUPEWA DHAMANA

Mwandishi wa Habari wa ITV na Redio One Khalfan Liundi (Mwenye shati jeupe) akitoka katika kituo cha Polisi cha Usariver Mara baada ya kupata dhamana,alikamatwa kufuatia amri ya Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Alexender Mnyiti kwa kutuhumiwa kuandika habari za uchochezi picha na mahmoud ahmad waglobu ya jamii arusha

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni