Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Mhe. Jaji Semistocles Kaijage kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya 
Uchaguzi (NEC) anayechukua nafasi ya Mhe. Jaji Mstaafu Damian Lubuva 
aliyemaliza Muda wake, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
 Mhe.
 Jaji Semistocles Kaijage akisaini hati ya kiapo mbele ya Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kiapo
 cha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ikulu Jijini 
Dar es Salaam.
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Mhe. Jaji Mstaafu Hamid Mohamed Hamid kuwa Makamu kuwa Mwenyekiti wa 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapishaJaji
 Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Mhe. Jaji Harold Nsekela kuwa Kamishna wa
 Maadili katika Sekretariat ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Ikulu Jijini
 Dar es Salaam.
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Mhe. Jaji Rehema Kiwanga Mkuye kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Mhe. Jaji Sivangilwe Sikalaliwa Mwangesi kuwa Jaji wa Mahakama ya 
Rufani.
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi
 vitendea kazi Mhe. Jaji Dkt. Gerald Ndika kuwa Jaji wa Mahakama ya 
Rufani.
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Mhe. Jaji Jackobs Mwambegele kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia 
jambo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim 
Majaliwa leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
 Rais wa  Jamhuri
 ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa wakiwa katika picha 
ya pamoja na Majaji wa Mahakama za Rufani leo Ikulu Jijini Dar es 
Salaam.
Rais
 wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Waziri 
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa wakiwa 
katika picha ya pamoja na Mwenyekiti mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi 
(NEC) (wakwanza kushoto) na aliyekuwa Mhe. Jaji Mstaafu Damian Lubuva 
aliyemaliza muda wake.
PICHA NA HASSAN SILAYO-MAELEZO











Hakuna maoni:
Chapisha Maoni