RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA UKUTA UNAOZUNGUKA ENEO LA MIGODI YA TANZANITE MIRERANI LEO


 Sehemu ilipofanyika sherehe za uzinguzi wa ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi wengine wakipata maelezo ya jinsi kazi ya kujenga ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
 Askari wa kikosi cha usalama barabarani akiuelekeza msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi wengine alipokagua sehemu ya ukuta wa kilomita 24. 5 uliojengwa kuzunguka migodi ya Tanzanite eneo la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Sehemu ya ukuta wa kilomita 24. 5 uliojengwa kuzunguka migodi ya Tanzanite eneo la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara
 Sehemu ya ukuta wa kilomita 24. 5 uliojengwa kuzunguka migodi ya Tanzanite eneo la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika sherehe za  kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
 Askari wa JKT walipkuwa kazini kujenga ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eneo la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea taarifa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Alexander Mnyeti wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eneo la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea mfano wa funguo kutoka kwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Husssein Mwinyi wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na hati ya kukabidhiwa ukuta aliyopokea toka kwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Husssein Mwinyi wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsaidia mgunduzi wa madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma kuketi kitini  wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi gari la wagonjwa kwa uongozi wa serikali ya Wilaya ya Simanjiro wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi gari la wagonjwa kwa uongozi wa serikali ya Wilaya ya Simanjiro wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli baada ya kukabidhi gari la wagonjwa kwa uongozi wa serikali ya Wilaya ya Simanjiro wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi wenginme wakimsikiliza Mzee Jumanne Ngoma akitoa shukurani zake kwa kutambuliwa na serikali na kupewa shilingi milioni 1000 na Rais kama ahsante yake  wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi wenginme wakimsikiliza Mzee Jumanne Ngoma akitoa shukurani zake kwa kutambuliwa na serikali na kupewa shilingi milioni 1000 na Rais kama ahsante yake  wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018. Kushoto ni Hassan na Asha Ngoma, watoto wa mzee huyo
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akipeana mikono na Asha Ngoma, binti wa Mzee Jumanne Ngoma, mgunduzi wa madini ya Tanzanite wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
 Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi hati ya shukrani Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo baada ya jeshi hilo kukamilishi mbele ya wakati ujenzi wa ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi kitambulisho cha Taifa mmoja wa wamiliki wa migodi ya Tanzanite ili kuwawezesha kupata ruksa ya kuingia na kufanya kazi ndani ya eneo lililozungukwa na ukuta  eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018 .
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli akifunua pazia kuashiria uzinduzi rasmi wa  ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na viongozi wengine akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa  ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembelea maonesho ya madini ya Tanzanite wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembelea maonesho ya madini ya Tanzanite wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Ulinzi na Usalama ya Bunge na Mbunge wa Morogoro Vijijini Mhe. Prosper Mbena wakati wa sherehe za uzinduzi wa ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara  leo Aprili 6, 2018.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembelea maonesho ya madini ya Tanzanite wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembelea maonesho ya madini ya Tanzanite wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembelea maonesho ya madini ya Tanzanite wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembelea maonesho ya madini ya Tanzanite wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli na viongozi wengine katika picha ya pamoja na familia ya mvumbuzi wa madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma na wanawe kwenye sherehe za kuzindua ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli na viongozi wengine katika picha ya pamoja na watendaji wa JWTZ na JKT  waliosimamia kazi za ujenzi wa  ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli akiaga  watendaji wa JWTZ na JKT  waliosimamia kazi za ujenzi wa  ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli akipiga tumba kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga wananchi baada ya sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga wananchi baada ya sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga wananchi baada ya sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara leo Aprili 6, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli katika picha na mvumbuzi wa madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma  wakati wa uzinduzi rasmi wa  ukuta wenye urefu wa kilomita 24.5 kuzunguka eneo la migodi ya madini ya Tanzanite huko Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara kwenye sherehe za kuzindua ukuta huo leo Aprili 6, 2018.
Picha na IKULU

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni