Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya 
Utalii TTB Bi. Devotha Mdachi na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege
 la Tanzania ATCL Mhandisi  Ladislaus Matindi wakisaini mkataba wa 
ushirikiano katika kutangaza utalii wa Tanzania na Huduma za shirika la 
Ndege la ATCL katika hafla iliyofanyika kwenye makao makuu ya TTB 
Kinondoni jijini Dar es salaam huku Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi 
ya  (ATCL), Emmanuel Korosso na 
Mwenyekiti wa Bodi ya TTB Jaji Mstaafu Thomas Mihayo  pamoja na 
wanasheria wa mashirika hayo wakishuhudia tukio hilo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya 
Utalii (TTB) Bi. Devotha Mdachi na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la 
Ndege la Tanzania (ATCL) Mhandisi  Ladislaus Matindi wakibadilishana 
hati za  mkataba wa ushirikiano katika kutangaza utalii wa Tanzania na 
Huduma za shirika la Ndege la (ATCL) katika hafla iliyofanyika kwenye 
makao makuu ya (TTB) Kinondoni jijini Dar es salaam huku Mwenyeviti wa 
Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso na Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo wakishuhudia tukio hilo.
Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL),
 Emmanuel Korosso kushoto  na Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu 
Thomas Mihayo wakikata utepe kuzindua jarida lenye maelezo  kuhusu 
masuala mbalimbali yanayohusu utalii wa Tanzania na vivutio vyake pamoja
 na maelezo kuhusu huduma za usafiri wa Anga za Shirika la Ndege la 
Tanzania ATCL litakalopatikana pia kwenye ndege za ATCL.
Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso kushoto  na Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo wakionyesha jarida hilo mara baada ya kulizindua rasmi.
Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso kushoto akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kusainiwa kwa mkataba huo.
Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo kulia akizungumza na waandishi katika hafla hiyo.
Baadhi ya maofisa wa ATCL na TTB 
kutoka kulia ni Mussa Kopwe Meneja Utawala na Rasilimali Watu  kutoka  
TTB , Lilian Fungamtama Ofisa Masoko wa  ATCL na Geofrey Meena Meneja 
Masoko TTB.
Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso kushoto  na Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo wakiwa
 katika picha ya pamoja kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii 
TTB Bi. Devotha Mdachi na Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la 
Ndege la ATCL Mhandisi Ladslaus Matindi.
Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso kushoto  na Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo wakiwa
 katika picha ya pamoja kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii 
TTB Bi. Devotha Mdachi na  Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la 
ATCL Mhandisi Ladslaus Matindi pamoja na maofisa wengine wa TTB.
Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Utalii TTB pamoja na maofiza wa Wizara ya Maliasili na Utalii na TTB wakiwa katika hafla hiyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni