BODI YA UTALII NA SHIRIKA LA NDEGE LA ATCL WASAINI MKATABA WA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI NA HUDUMA ZA NDEGE ZA ATCL

a1
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii TTB Bi. Devotha Mdachi na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la Tanzania ATCL Mhandisi  Ladislaus Matindi wakisaini mkataba wa ushirikiano katika kutangaza utalii wa Tanzania na Huduma za shirika la Ndege la ATCL katika hafla iliyofanyika kwenye makao makuu ya TTB Kinondoni jijini Dar es salaam huku Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso na Mwenyekiti wa Bodi ya TTB Jaji Mstaafu Thomas Mihayo  pamoja na wanasheria wa mashirika hayo wakishuhudia tukio hilo.
a3
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii (TTB) Bi. Devotha Mdachi na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) Mhandisi  Ladislaus Matindi wakibadilishana hati za  mkataba wa ushirikiano katika kutangaza utalii wa Tanzania na Huduma za shirika la Ndege la (ATCL) katika hafla iliyofanyika kwenye makao makuu ya (TTB) Kinondoni jijini Dar es salaam huku Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso na Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo wakishuhudia tukio hilo.
a4
Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso kushoto  na Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo wakikata utepe kuzindua jarida lenye maelezo  kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utalii wa Tanzania na vivutio vyake pamoja na maelezo kuhusu huduma za usafiri wa Anga za Shirika la Ndege la Tanzania ATCL litakalopatikana pia kwenye ndege za ATCL.
a5
Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso kushoto  na Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo wakionyesha jarida hilo mara baada ya kulizindua rasmi.
a6
Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso kushoto akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kusainiwa kwa mkataba huo.
a7
Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo kulia akizungumza na waandishi katika hafla hiyo.
a8
Baadhi ya maofisa wa ATCL na TTB kutoka kulia ni Mussa Kopwe Meneja Utawala na Rasilimali Watu  kutoka  TTB , Lilian Fungamtama Ofisa Masoko wa  ATCL na Geofrey Meena Meneja Masoko TTB.
a9
Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso kushoto  na Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo wakiwa katika picha ya pamoja kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii TTB Bi. Devotha Mdachi na Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la ATCL Mhandisi Ladslaus Matindi.
a10
Mwenyeviti wa Bodi ya Wakurugenzi ya  (ATCL), Emmanuel Korosso kushoto  na Mwenyekiti wa Bodi ya (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo wakiwa katika picha ya pamoja kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii TTB Bi. Devotha Mdachi na  Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la ATCL Mhandisi Ladslaus Matindi pamoja na maofisa wengine wa TTB.
a11
Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Utalii TTB pamoja na maofiza wa Wizara ya Maliasili na Utalii na TTB wakiwa katika hafla hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni