Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) Rais wa Zambia Edga Lungu,Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli na Makamo wa
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wakisimama 
wakati wimbo wa Taifa ukipigwa wakati wa hafla ya chakula cha jioni 
kilichoandaliwa kwa Rais wa Zambia jana,katika ukumbi wa Ikulu Jijini 
Dar es Salaam,[Picha na Ikulu.]28/11/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akiteta na Rais wa Zambia Edga Lungu wakati
 wa hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na  Rais wa Jamhuri ya 
Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Ikulu 
Jijini Dar es Salaam jana,[Picha na Ikulu.]28/11/2016.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti 
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiagana na 
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan 
baada ya kumalizika hafla ya dhifa ya chakula cha jioni iliyofanyika 
jana katika ukumbi wa ikulu ya Jijini Dar es Salaam,iliyoandaliwa kwa 
Rais wa Zambia Edga Lungu akiwa nchini kwa ziara ya siku tatu, [Picha na
 Ikulu.]28/11/2016.
Rais wa Zambia Edga Lungu 
akisalimiana na Makamo wa Rais Mstaafu wa   Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania  Dkt. Mohamed Gharib Bilali wakati wa hafla ya dhifa ya chakula
 cha jioni iliyofanyika jana katika ukumbi wa ikulu ya Jijini Dar es 
Salaam,Rais Lungu yupo nchini  kwa ziara ya siku tatu, [Picha na Ikulu.]28/11/2016.
Rais wa Zambia Edga Lungu 
akisalimiana na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mzee 
Ali Hassan Mwinyi wakati wa hafla ya dhifa ya chakula cha jioni 
iliyofanyika jana katika ukumbi wa ikulu ya Jijini Dar es Salaam,Rais 
Lungu yupo nchini  kwa ziara ya siku tatu, [Picha na Ikulu.]28/11/2016.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni