RAIS WA ZANZIBAR DK. ALI MOHAMED SHEIN ASHIRIKI DHIFA YA CHAKULA YA EDGA LUNGU RAIS ZAMBIA ILIYOANDALIWA NA RAIS MAGUFULI

zif1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) Rais wa Zambia Edga Lungu,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wakisimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa wakati wa hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa kwa Rais wa Zambia jana,katika ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam,[Picha na Ikulu.]28/11/2016.
zif2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akiteta na Rais wa Zambia Edga Lungu wakati wa hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam jana,[Picha na Ikulu.]28/11/2016.
zif4
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiagana na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan baada ya kumalizika hafla ya dhifa ya chakula cha jioni iliyofanyika jana katika ukumbi wa ikulu ya Jijini Dar es Salaam,iliyoandaliwa kwa Rais wa Zambia Edga Lungu akiwa nchini kwa ziara ya siku tatu, [Picha na Ikulu.]28/11/2016.
zif6
Rais wa Zambia Edga Lungu akisalimiana na Makamo wa Rais Mstaafu wa   Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Mohamed Gharib Bilali wakati wa hafla ya dhifa ya chakula cha jioni iliyofanyika jana katika ukumbi wa ikulu ya Jijini Dar es Salaam,Rais Lungu yupo nchini  kwa ziara ya siku tatu, [Picha na Ikulu.]28/11/2016.
zif5
Rais wa Zambia Edga Lungu akisalimiana na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mzee Ali Hassan Mwinyi wakati wa hafla ya dhifa ya chakula cha jioni iliyofanyika jana katika ukumbi wa ikulu ya Jijini Dar es Salaam,Rais Lungu yupo nchini  kwa ziara ya siku tatu, [Picha na Ikulu.]28/11/2016.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni