Mkurugenzi
 wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Maendeleo ya Mafunzo katika 
Chuo Cha Viongozi waandamizi cha Chama Cha Kikomunisti cha China, Jia Bo
 (Wakwanza kushoto),  alipokutana naye na kufanya mazungumzo katika 
Ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba 
jijini Dar es Salam. Bo na ujumbe wake wapo katika ziara ya mafunzo kwa 
mwaliko wa Chama Cha Mapinduzi. Wapili ni Kaimu Balozi wa China hapa 
Nchini, Gou hao Domg. Na walioketi kulia, ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa 
Dar es Salaam, Ramadhan Madabida na Katibu wa NEC, Sisa na Ushorikiano 
wa Kimataifa, Dk. Pindi Chama.
 KATIBU
 Mkuu wa CCM, Abdulrahman akimsalimia  Mkurugenzi wa Idara ya 
Ushirikiano wa Kimataifa na Maendeleo ya mafunzo katika Chuo Cha 
Viongozi waandamizi cha Chama Cha Kikomunisti cha China, Jia Bo kabla ya
 kuanza mazungumzo katika Ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao 
Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salam. Bo na ujumbe wake wapo katika
 ziara ya mafunzo kwa mwaliko wa Chama Cha Mapinduzi.
 Katibu
 Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia Kaimu Nalozi wa China hapa 
nchini, Gou Hao Dong, alipowasili katika ukumbi wa Sekretarieti kwa 
ajili ya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa 
na Maendeleo ya mafunzo katika Chuo Cha Viongozi waandamizi cha Chama 
Cha Kikomunisti cha China, Jia Bo (katikati)
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akijiandaa kukaa tayari kwa mazungumzo na Jia Bo
 Katibu
 Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia Mwenyekiti wa CCM mkoa wa 
Dar es Salaam, Ramadhani Madabida alipowasili ukumbini. Madabida ndiye 
Mwenyeji wa ujumbe huo wa China
 KATIBU
 Mkuu wa CCM, Abdulrahman akiiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano 
wa Kimataifa na Maendeleo ya mafunzo katika Chuo Cha Viongozi waandamizi
 cha Chama Cha Kikomunisti cha China, Jia Bo katika picha ya pamoja na 
ujumbe wa CCM na CPC, baada ya mazungumzo katika Ukumbi wa Sekretarieti,
 Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salam. Bo na 
ujumbe wake wapo katika ziara ya mafunzo kwa mwaliko wa Chama Cha 
Mapinduzi. 
 KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman akiagana na Kaimu Balozi wa China hapa nchini, Gou Hao Dong, baada ya mazungumzo.
Balozi
 wa China hapa nchini, Gou Ho Dong akiagana na Katibu wa NEC, Siasa na 
Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana baada ya mazungumzo hayo. Kushoto
 ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, ramadhani Madabida.








Hakuna maoni:
Chapisha Maoni