
Mtalii huyo Fernando Mocclola 66, walikuwa wamefikia kwenye kambi ya Swara ambako tukio hilo lilipotokea jana majira ya saa tano asubuhi.
Polisi wamesema mtalii huyo alimuacha mkewe akiwa kwenye hema na kwenda kuwapiga picha tembo waliokuwa wakinywa maji kwenye mto Sabaki.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni