Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua
(kulia) akiangalia jengo la ofisi ya walimu lililoathiriwa na maafa ya
tetemeko la ardhi katika shule ya sekondari ya Mugeza Mkoani
Kagera.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi
ya majengo ya shule ya sekondari ya Ihungo yariyobomoka kutokana na
athari za maafa ya tetemeko la ardhi Kagera. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA SHULE ZILIZOATHIRIWA NA MAAFA YA TETEMEKO LA ARDHI KAGERA.
posted on
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni