Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama samaki aina ya pweza wakati 
alipotembelea kiwanda cha samaki cha TANIPESCA eneo la Kilindoni 
wilayani Mfia  Septemba 24, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Bi. Mwanalingwe  Shani Juma  akiwa
 na  mwanane mchanga, Ngweshani  Khatibu  wakati alipotembelea wodi ya 
wazazi katika hospitali ya wilaya ya MafiaSptemba 24, 2016. (Picha na 
Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni