MKUTANO WA WADAU WA UTALII KUFANYIKA MKOANI ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,akizungumza na waandishi wa habari wa Arusha,akiwaelezea juu ya mkutano mkuu wa wadau wa Utalii utakaofanyika Septemba 22,2016 katika ukumbi wa Mbayuwayu (AICC).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni