TRENI YAGONGA STESHENI NA KUUA MTU MMOJA NA KUJERUHI WENGI MAREKANI

Mtu mmoja ameripotiwa kufa na makumi kujeruhiwa, baadhi yao vibaya mno baada ya treni kugonga stesheni katika jimbo la New Jersey nchini Marekani.
Treni hiyo imeripotiwa kugonga kizuizi cha eneo la tiketi na kuingia katika eneo la mapokezi la stesheni ya Hoboken.
   Watu waliojeruhiwa wakiwa wamelazwa kwenye machela maalum za magari ya wagonjwa
             Mwanamke aliyejeruhiwa akiwa amewekewa kifaa maalum cha hewa ya oxygen
                    Waokoaji wakiangalia ndani ya treni kuangalia kama kuna watu waliojeruhiwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni