MJAMZITO JANET JACKSON AFANYA MANUNUZI JIJINI LONDON

Mwanamuziki Janet Jackson ambaye ni mjamzito kwa sasa ameonekana akiwa anafanya manunuzi Jijini London mapema wiki hii.

Mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 50 anatarajia kupata mtoto na mumewe Wissam Al Mana, alionekana akifanya manunuzi katika duka la Back In Action Jijini London.


Janet dressed alikuwa amevalia juu fulana na chini suruali pana ya traksuti alionekana akiwa bado na mvuto na muonekano mzuri licha ya kutopaka vipodozi.
                      Mwanamuziki Janet Jackson akitoka ndani ya duka la bidhaa Jijini London
            Janet Jackson akiingia kwenye gari alilotumia kwenda kufanya manunuzi 
         Janet Jackson akiwa na mumewe Wissam Al Mana picha hii walipiga Oktoba 2010

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni