BARCELONA KUIKATIA RUFAA KADI YA NJANO ALIYOPEWA LIONEL MESSI

Timu ya Barcelona imetangaza kuwa itaikatia rufaa kadi ya njano aliyopewa mshambuliaji wao nyota Lionel Messi katika mchezo wa jumapili walioshinda magodi 2-1 dhidi ya Sevilla.

Messi alilambwa kadi ya njano katika kipindi cha pili kwa kupoteza muda wakati akijaribu kuvaa kiatu chake kilichomvuka baada ya kukabwa na Steven N'Zonzi wa Sevilla. 
Lionel Messi akijaribu kumuonyesha refa kuwa kiatu ndio tatizo baada ya kupewa kadi ya njano
Lionel Messi akionekana kumshanga refa kwa uamuzi wake huo huku refa huyo akionyesha mkono ngoma ianze 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni