HILI NDILO JUMBA LA KIFAHARI LA RAIS MTEULE DONALD TRUMP
posted on
Pata kulifahamu jumba la kifahari la
rais mteule wa Marekani Donald Trump lenye thamani ya dola
milioni 100 zaidi ya shilingi bilioni 200 za Tanzania lililonakishiwa
kwa dhahabu na madoido kibao.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni