SHINZO ABE NA DONALD TRUMP WAFANYA MKUTANO WAO TRUMP TOWER


Waziri Mkuu wa Japan Bw. Shinzo Abe amesema anaimani kubwa na rais mteule wa Marekani Donald Trump baada ya kuwa kiongozi wa kwanza wa kigeni kukutana na Trump.

Bw. Abe amekutana na Trump jana Alhamis na kufanya naye mazungumzo kwenye jengo la Trump Tower, katika mkutano wao ambao ulimalizika kwa mafanikio.
Shinzo Abe akisalimiana na Donald Trump, huku akiangaliwa na binti yake Ivanka Trump aliyeambatana na mumewe
Rais Mteule wa Marekani Donald Trump akifurahia jambo na mwenyeji wake Shinzo Abe

Tump na mgeni wake Abe wakiwa kwenye mazungumzo yaliyohusu kuimarisha uhusiano baina ya Japan na Marekani

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni