![]()  | 
| Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima Kanda ya Kaskazini(Taso)Arthur Kitonga akisoma taarifa ya Taso inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro,Manyara na Arusha. | 
![]()  | 
| Meneja wa Shama la Mbegu la Serikali(ASA) mkoa wa Arusha,Zawadiel Mrinji akizungumzia umuhimu wa zao la Ngano linalostawi kwa wingi wilaya ya Monduli na Hanang . | 
![]()  | 
| Viongozi wa serikali wakikagua bustani ya JKT ambayo imekua kivutio kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya Nanenane Njiro mkoani Arusha. | 
![]()  | 
| Bustani ya taasisi ya Utafiti wa Kahawa(Tacri)hutembelewa na wakulima kujifunza namna bora ya kilimo cha Buni nchini. | 
![]()  | 
| Wananchi wakipata maelezo kutoka kwenye banda la Sementi la Simba Cement . | 
![]()  | 
| Baadhi ya wafanyakazi wa Benki Kuu(Arusha) ambao wanashiriki kwenye maonesho hayo wakijumuika na wananchi kusikiliza hotuba ya Mkuu wa mkoa wa Arusha ,Felix Ntibenda. | 
![]()  | 
| Vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa(JKT)Oljoro mkoa wa Arusha wakiwa makini kumsikiliza mgeni rasmi. | 
![]()  | 
| Wanafunzi wakiwa kwenye banda la Chuo cha Ufundi Arusha(ATC) kujifunza mambo mbalimbali yanatolewa na Chuo hicho. | 
![]()  | 
| Kikundi cha burudani kutoka JKT Oljoro wakionesha ufundi wao wa ngoma kutoka Pemba. | 












Hakuna maoni:
Chapisha Maoni