![]() |
| Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima Kanda ya Kaskazini(Taso)Arthur Kitonga akisoma taarifa ya Taso inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro,Manyara na Arusha. |
![]() |
| Meneja wa Shama la Mbegu la Serikali(ASA) mkoa wa Arusha,Zawadiel Mrinji akizungumzia umuhimu wa zao la Ngano linalostawi kwa wingi wilaya ya Monduli na Hanang . |
![]() |
| Viongozi wa serikali wakikagua bustani ya JKT ambayo imekua kivutio kwa wananchi wanaotembelea maonesho ya Nanenane Njiro mkoani Arusha. |
![]() |
| Bustani ya taasisi ya Utafiti wa Kahawa(Tacri)hutembelewa na wakulima kujifunza namna bora ya kilimo cha Buni nchini. |
![]() |
| Wananchi wakipata maelezo kutoka kwenye banda la Sementi la Simba Cement . |
![]() |
| Baadhi ya wafanyakazi wa Benki Kuu(Arusha) ambao wanashiriki kwenye maonesho hayo wakijumuika na wananchi kusikiliza hotuba ya Mkuu wa mkoa wa Arusha ,Felix Ntibenda. |
![]() |
| Vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa(JKT)Oljoro mkoa wa Arusha wakiwa makini kumsikiliza mgeni rasmi. |
![]() |
| Wanafunzi wakiwa kwenye banda la Chuo cha Ufundi Arusha(ATC) kujifunza mambo mbalimbali yanatolewa na Chuo hicho. |
![]() |
| Kikundi cha burudani kutoka JKT Oljoro wakionesha ufundi wao wa ngoma kutoka Pemba. |












Hakuna maoni:
Chapisha Maoni