Manyaraleo blog, Arusha
Tamasha la 10 la vyombo vya habari  na wadau wa habari mkoa wa Arusha, linatarajiwa kufanyika Agosti 29 katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwa kushirikisha timu nane ikiwepo  timu ya TASWA kutoka jijini Dar es Salaam.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni