Rais wa zanzibar na Mwenyekiti
 wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali 
Mohamed Shein alipokuwa akizungumza  na Wananchi na WanaCCM  katika 
mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti Mjini Zanzibar 
leo.
[Picha na Ikulu.]
Maelfu ya Wananchi na wanaCCM 
wakimsikiliza Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia 
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa 
akizungumza nao katika mkutano wa hadhara uliofanyikaviwanja vya 
Kibandamaiti Mjini Zanzibar.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni