Naibu 
Waziri wa Maji, Amos Makalla (kushoto) akisalimiana na Kaimu Mtendaji 
Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA), Mary Mtukula 
alipowasili katika eneo la Mtambo wa Ruvu juu Darajani Wilayani Bagamoyo
 Mkoa wa Pwani Agosti 25, 2015  wakati wa ziara ya siku tatu ya kukagua 
maendeleo ya ujenzi wa miradi ya maji katika mkoa wa Dar es Salaam 
ambapo miradi hiyo inasimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka 
(DAWASA).
Ujenzi uifadhi wa pampu ukiendelea.
Naibu 
Waziri wa Maji, Amos Makalla akikagua moja ya transfoma ya umeme 
kwaajili ya kuongeza uwezo wa utendaji kazi wa mashine mpya zitakazo 
fungwa,Waziri  Amos Makalla anafanya ziara  siku tatu ya kukagua 
maendeleo ya ujenzi wa miradi ya maji katika mkoa wa Dar es Salaam 
ambapo miradi hiyo inasimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka 
(DAWASA).
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla
 akipata maelezo kutoka kwa Meneja Usimamizi Uendeshaji na Mazingira 
DAWASA, Modesta Mushi kuhusiana na upanuzi wa mtambo wa kuongeza 
uzalishaji kutoka mita za ujazo 82,000 hadi 196,000 kwa siku. 
Naibu 
Waziri wa Maji, Amos Makalla akiwa ameongozana na wakandarasi wa miradi 
na maofisa kutoka Wizara ya maji. wakikagua ujazo wa maji ruvu Darajani.
Naibu 
Waziri wa Maji, Amos Makalla pamoja na wakandarasi wa miradi na maofisa 
kutoka Wizara ya maji. wakikagua wakiangalia kina cha maji kilipofikia.
Naibu 
Waziri wa Maji, Amos Makalla (wa pili kushoto) akiwa ameongozana na 
Meneja mradi wa Kampuni ya WABAG kutoka India. Pintu Dutta (watatu 
kulia) Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka 
(DAWASA), Mary Mtukula, Injinia Masudi Omari, Meneja Usimamizi 
Uendeshaji na Mazingira DAWASA, Modesta Mushi  wakikagua maendeleo ya 
mradi wa kituo cha kusafisha maji cha Ruvu juu .
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni