Mgombea
 Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Bi. Kulwa Juma ambaye ni 
mfanyabiashara ndogo ndogo ya kuuza Mihogo ya Kukaanga katika Kituo cha 
Mabasi cha Gongo la Mboto mwisho, Jijini Dar es salaam leo, wakati 
alipofanya ziara ya kushtukiza eneo hilo ili kujionea hali halishi ya 
biashara ndogo ndogo. Mh. Lowassa aliianza ziara yake eneo hilo la Gongo
 la Mboto na baadae alipanda daladala mpaka Pugu Kajiungeni, jijini Dar.
PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI
Mgombea
 Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akimsikiliza Bi. Kulwa Juma ambaye ni 
mfanyabiashara ndogo ndogo ya kuuza Mihogo ya
Kukaanga katika Kituo cha Mabasi cha Gongo la Mboto mwisho, Jijini Dar
es salaam leo.
Kukaanga katika Kituo cha Mabasi cha Gongo la Mboto mwisho, Jijini Dar
es salaam leo.
Mgombea
 Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akizungumza na vijana wanaoendesha 
Bodaboda waliokuwepo kando ya Kituo cha Mabasi cha Gongo la Mboto 
mwisho, Jijini Dar es salaam leo. Kulia ni Mgombea Mweza wake, Dkt. Juma
 Haji Duni.
Mgombea
 Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa katikati ya umati wa watu wakati 
alipotembelea eneo la Gongo la Mboto mwisho, Jijini Dar
es salaam leo.
es salaam leo.
Mgombea
 Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akizungumza na baadhi ya wanafunzi 
waliokuwa kituoni hapo kusubiria usafiri.
Mgombea
 Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa ndani ya Daladala alilopanda kutokea
 Gongo la Mboto Mwisho mpaka Pugu Kajiungeni jijini Dar es salaam,mapema
 leo asubuhi.

Mh. Lowassa akishuka kwenye daladala.
Wakazi
 wa mji wa Mbagala wakiushangilia msafara wa Mgombea Urais wa Tanzania 
wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
 Lowassa pamoja na Mgombea Mweza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakati 
walipotembelea Kituo cha Mabasi cha Mbagala Rangi tatu jijini Dar es 
salaam, wakati walipotembelea kituo hicho leo
Mgombea
 Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akizungumza na Vijana wanaojihusisha na 
shughuli mbali mbali katika stendi kuu ya
Mabasi yaendayo mikoa ya Lindi na Mtwara, ilipo Mbagala jijini Dar.
Mabasi yaendayo mikoa ya Lindi na Mtwara, ilipo Mbagala jijini Dar.
Mgombea
 Mwenza wa Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na 
Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Juma Haji Duni akiwasalimia wakazi wa Mbagala.



 








Hakuna maoni:
Chapisha Maoni