Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete katikati pichani 
akiserebuka na wadau wa muziki na huku akipiga nao picha,ndani ya ukumbi
 wa Mlimani City  katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano 
wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu 
alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa 
Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli.
 Mgombea
 Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akipiga ngoma huku akishirikiana 
na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipiga gitaa ndani ya 
ukumbi wa mlimani City jijini Dar.
Mwanadada Wema Sepetu akimtunza midola Dkt John Magufuli alipokuwa akipiga ngoma jukwaani kwa ustadi mkubwa.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akiwa ameambatana
 na Mgombea Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli pamoja na 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana,Katibu wa NEC Itikadi na 
Uuenezi Nape Nnauye na pamoja na Januari Makamba wakifurahia jambo kwa 
pamoja na wageni waalikwa mbalimbali waliofika ndani ya ukumbi wa 
Mlimani City kushiriki hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa
 Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu 
alivyoingia madarakani kwa miaka 10.
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akiwa ameambatana
 na Mgombea Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli pamojoa na 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  (mwisho kushoto) na Mkuu wa
 Wilaya ya Ilala Mh.Paul Makonda wakiwasili ndani ya ukumbi wa Mlimani 
City kushiriki hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii
 kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia 
madarakani kwa miaka 10.
Rais
 Dr. Jakaya Kikwete akifurahia jambo  na Mgombea Urais wa Jamhuri ya 
Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kupitia CCM wakati 
alipowasili Mlimani City jijini Dar es salaam kwa ajili ya kushiriki 
hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na Muungano wa wasanii 
Kumshukuru Mh. Dr. Jakaya Kikwete kwa jinsi alivyowasaidia katika 
uongozi wake wa miaka 10 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
 Kumkaribisha Mgombea wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr.
 John Pombe Magufuli, Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana pia 
akishiriki tukio hilo.Hafla hiyo imehudhuriwa na wasanii mbalimbali 
 wakiwemo waigizaji wa filamu, wachezaji na wanamuziki wakishiriki kwa 
pamoja kumshukuru Dk.Jakaya Kikwete.
 Baadhi ya Wadau wa muziki wakifurahia jambo wakati Rais Dkt Jakaya Kikwete alipokuwa akiwasili ndani ya ukumbi wa Mlimani City.
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na baadhi ya wadau wa muziki nchini ndani ya ukumbi wa mlimani City usiku huu.
 Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom,Kelvin Twisa
 Dkt Kikwte akisalimiana na baadhi ya Wasanii wa muziki wa bongofleva
 Rais
 Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam,Mh Said 
Meck Sadick ndani ya ukumbi wa mlimani city usiku huu.
 Mmoja wa wasanii akiimba jukwaani kwa hisia.
Baadhi ya Wanamuziki wakongwe walihudhuria hafla hiyo iliyofana kwa kiasi kikubwa.
Wanauziki
 wakongwe pia walikuwepo kumshukuru Rais Kikwete kwa mambo mengi 
aliyoyafanya katika uongozi wake wa miaka kumi ndani ya tasnia ya muziki
 Mmoja wa wasanii akitumbuiza jukwaani usiku huu































Hakuna maoni:
Chapisha Maoni