Breaking: Naibu Jaji Mkuu Kenya Akamatwa

Naibu Jaji mkuu Kenya Philomena Mwilu amekamatwa katika mahakama ya juu zaidi Nairobi kutokana na tuhuma za rushwa.
Jaji Mwilu amepelekwa katika makao ya idara ya uchunguzi wa uhalifu DCI kuhojiwa.
Muda mfupi baada ya kukamatwa, mwendesha mashtaka mkuu nchini Noordin Haji ameitisha mkutano wa dharura na waandishi wa habari kuhusu suala hilo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni