Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti yaendelea na vikao vyake jijini Dodoma


_T6A2330
Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akifafanua
jambo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti iliyokutana leo
Jijini Dodoma iliyokutana leo Jijini Dodoma, kushoto kwake ni
Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa George Simbachawene. (Picha na
Ofisi ya Bunge)
_T6A2342
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti Mheshimiwa George
Simbachawene akichangia jambo mbele ya Kamati hiyo iliyokutana leo
Jijini Dodoma, Kulia kwake ni Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa
Dkt. Philip Mpango. (Picha na Ofisi ya Bunge)
5T6A2282
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti Mheshimiwa George
Simbachawene akichangia jambo mbele ya Kamati hiyo iliyokutana leo
Jijini Dodoma, Kulia kwake ni Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa
Dkt. Philip Mpango. (Picha na Ofisi ya Bunge)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni